Mwanamke niliyewahi kumpenda mwanzo akanikataa, ameniambia kwa aina ya ugonjwa anaoumwa sasa yupo tayari kufia mikononi mwangu

Mwanamke niliyewahi kumpenda mwanzo akanikataa, ameniambia kwa aina ya ugonjwa anaoumwa sasa yupo tayari kufia mikononi mwangu

Habari za jumapili wakuu.

Leo kuna kitu kimenichanganya kidogo.
Kuna binti nilimpenda kama 10 yrs ago huko, kama mjuavyo mabinti hawa wakiwa in their early 20's wanavyokuaga, baada ya battle ya hapa na pale kwa kipindi kile nikaona sina nguvu ya kupambana na matajiri coz ya mwanamke nikaachana na zile harakati zangu nikaendelea na mambo mengine ya maisha.

So juzi nikiwa katika harakati zangu za maisha nikaona number mpya inanipigia kupokea nikaskia ni saut ya yule manzi, baada ya story za hapa na pale akaniambia she has realised kuwa I was a true man kwake sema ujana ulimchanganya, sadly akaniambia kuwa kwa sasa yuko Dar es Salaam kwa ndugu yake, anaumwa ugonjwa wa figo na anahisi kama atakufa tu anytime na wale mafogo aliokua nao wakati ule wa nyuma wamemkimbia, anashukuru tu bima aliyonayo ya kazini ndio inamsaidia katika dialysis vinginevyo tungekua tushamsahau.

Kilichoniskitisha ni kuwa ameniambia amegundua mimi ndiye nilikua mwanaume sahihi kwake but unfortunately time is up ila anaomba one chance kwamba kwa ugonjwa unomsumbua nimpe nafasi afie mikononi mwangu coz yuko katika stage mbaya kwa sasa.

Nimejaribu kumshauri sana asikate tamaa. Kaniacha dilemma wakuu, nifanyaje?
Mwamba kampe pole ila mwambie usha oa hata kwa kuongopea.
 
Kama ni chai ongeza tangawizi ila kama ni kweli Be a Man tofautisha huruma na mapenzi
 
Habari za jumapili wakuu.

Leo kuna kitu kimenichanganya kidogo.
Kuna binti nilimpenda kama 10 yrs ago huko, kama mjuavyo mabinti hawa wakiwa in their early 20's wanavyokuaga, baada ya battle ya hapa na pale kwa kipindi kile nikaona sina nguvu ya kupambana na matajiri coz ya mwanamke nikaachana na zile harakati zangu nikaendelea na mambo mengine ya maisha.

So juzi nikiwa katika harakati zangu za maisha nikaona number mpya inanipigia kupokea nikaskia ni saut ya yule manzi, baada ya story za hapa na pale akaniambia she has realised kuwa I was a true man kwake sema ujana ulimchanganya, sadly akaniambia kuwa kwa sasa yuko Dar es Salaam kwa ndugu yake, anaumwa ugonjwa wa figo na anahisi kama atakufa tu anytime na wale mafogo aliokua nao wakati ule wa nyuma wamemkimbia, anashukuru tu bima aliyonayo ya kazini ndio inamsaidia katika dialysis vinginevyo tungekua tushamsahau.

Kilichoniskitisha ni kuwa ameniambia amegundua mimi ndiye nilikua mwanaume sahihi kwake but unfortunately time is up ila anaomba one chance kwamba kwa ugonjwa unomsumbua nimpe nafasi afie mikononi mwangu coz yuko katika stage mbaya kwa sasa.

Nimejaribu kumshauri sana asikate tamaa. Kaniacha dilemma wakuu, nifanyaje?
Hii story yako vijana wengi wanakutana na mabinti wa namna hii. Mfano katika pilika zangu nilitongozaga msichana flani akawa analeta zile nataka sitaki kumbe anasoma wapi kuna ulaji mzuri na akawa anapanga wanaume atakavyo maana alikua wa moto kweli. Siku nazo/muda huwa ni mwalimu mzuri. Miaka ikasogea kama 3 mbele nashangaa siku moja namba mpya kawa wew hivyo inanitafuta mara anaanza kwa kulia na kujielezea kuwa amenikosea sana na mm ndio mwabaume nilikua sahihi kwake ila ukuaji tu ulimchanganya😁😁😁nikacheka mie nikamimina kilimanjaro yangu nimsikilize vzr tena. Akaendelea unajua now nimejifunza naomba unisamehe na kama huna mtu yupo tayari niwe nae na atanizalia. 😁😁😁😁 majibu yangu sasa yalikuwa hivi "mimi na wewe hatuwezi kuwa hata wapenzi wa usku mmoja tena na hilo sahau" usiruhusu mwanamke alokuonesha dharau awe upande wako tena.
 
Hii ndiyo fursa ya pekee ya kuonyesha kwa vitendo upendo wako kwake. Mwambie mkaongee na Madokta muone uwezekano wa kumpatia Figo moja na wewe ubakie na moja.

Endapo atapona atakuabudu kama Mungu wake maisha yake yote na mtaishi kwa furaha.

La, kama na wewe ulikuwa mpitaji tu kama wengine, basi ukamwone umpe Pole zake uendelee na safari yako.
utakuja kulia vibaya wewe
 
Back
Top Bottom