Mwanamke peke yake hawezi kumkuza mtoto wa kiume kuwa mwanaume


Andiko safi kabisa hata likiishia hapa
 
Duhh ina maana ?ndio maana kayafanya haya.
 
Mleta mada hongera sana! Uliyoandika ni kweli kabisa! Ila humu ndani kuna baadhi ya vijana ufahamu wao ni mdogo hawawezi kuelewa.
 
Andiko la ukweli na lina uhalisia wa maisha tunayo ishi. Wanawake single mama wengi sana wanaharibu swatoto wa kiume. Dogo anakua fala fala tu maisha yake yote.. u know my mommy this .... my mommy that.. faken kabisa hao.
 
Wazazi wote ni sawa...
Ni kweli wazazi ni sawa kwa ustahili wa heshima na upendo…
ila naungana sana na mleta mada: pengo la baba haliwezi zibwa na mama kikamilifu (especialy kwa malezi ya mtoto wa kiume)
Utafuzwa vipi na mama kuwa baba/mwanaume bora wakati mama hajawahi hata kuwa mvulana!
 
Duu mkuu wakati Niko o level pale songea boy's Kuna mtoto wa mwalimu wetu alikuja ANALIA amepigwa huko alikokuwa anacheza babake kamwambia mama mpe chakula ale halafu akapigane wamepiga sababu ya njaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

Matatizo mengi kwenye jamii ya sasa yanasababishwa na Fatherlessness na kuwa na mzazi wa kiume kwenye familia haimaanishi una baba…
yamkini ni akawa “Sperm doner” tu. Baba ni zaidi ya kuwa na jinsia ya kiume kwani nilivyomwelewa jamaa mwenye uzi wake..
 
Andiko la ukweli na lina uhalisia wa maisha tunayo ishi. Wanawake single mama wengi sana wanaharibu swatoto wa kiume. Dogo anakua fala fala tu maisha yake yote.. u know my mommy this .... my mommy that.. faken kabisa hao.
Usiseme wanawake wanawaharibu hao watoto was kiume jiulize hao baba was kuwalea hao watoto wako wapi???na usitoe jibu la kuwa wamekufa nop find another genuine answer as a man yourself
 
sijawahi kukubali mtt angu akae na mama ake angalau kwa week 2 bila mm
 
Ni kweli na ndiyo maana unaona masingo maza kibao wanatusakizia watoto wao waliozaa na vibaka kwa ajili ya tamaa zao za kijinga ili tuwe father figure kwao.
 
Masulinity ndiyo kitu kipi!
 
Inaendelea wapi mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…