Buenos Aires
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 1,894
- 1,622
Cameltoe ni nn mkuu!Tatizo wanawake wa skuhizi wabishi Sana.
Wanajisahau Sana,
Wanapoteza MDA mwingi Sana Kwenye kioo badala ya kuongeza vionjo.
Mwanamke anaweza kua na avarage look, ila the way she's romantic, manjonjo ya hApa na pale.
Basi anakua zaidi ya mrembo mara 100 zaidi.
Mf: uyo video vixen wa OTILE brown- Hi
[emoji117]Sura Hana
[emoji117]Lips safi
[emoji117]shepu safi,
[emoji117]Hips safi
[emoji117] Cameltoe safi
[emoji117]Tumbo Safi
[emoji117]Kitovu safi
Sema the way,
Anajishebedua, anajidekeza, anakata kiuno, anacheka, anajiachia romantically kwa mpenz wake.
Anavutia Sana KUMTIZAMA, haboi kabisa.
Hachepuki bana kama mke akiwa romantic huwezi chepukaKuchepuka ni kuchepuka tu haijalishi anachepuka kiboya au kitaalam
Wengi kauli chafu na kejeli ndio zimewajaa sikuhizi!Katika mahusiano/Ndoa, ukimpata mwanamuke mwenye mapenzi ya kweli, mwenye huruma na kukuliwaza pale unapopatwa na mitihani mbalimbali wewe kama mwanaume, basi hapo umepata haswaa mwanamke anaekufaa katika maisha. Haijalishi una hela au huna.
Alakini mabinti wa sikuizi most of them vibuli sana na zalau juu. Na ndiomana hawadumu katika ndoa.
Tofautisha romanticness ya kitapeli na ile genuine!Sisi wanawake tukiwa na hidden agenda na hasa kama tuna jambo letu tunalitaka kuna ka romance tunakawekaga halifurukuti dume lolote. 😁😁🤭🤭
Nyie ndo mnatakiwa kutofautisha.Tofautisha romanticness ya kitapeli na ile genuine!
Hii rahisi kuigundua sana kwa sababu hufanyika muda pekee ambao mwanamke anashida hapo atakuita majina mazuri mazuri ila akishatimiziwa anajirudi kuwa wa baridi kama panga lililolala nje!
Ingine ni akiwa katoka kukupiga tukio akija lazima atajifaragua na kujitia anakujali sana sikuhio kumbe mwizi!
Hachepuki ng'o [emoji23][emoji23][emoji23]Ni kweli! Ila hivi mwanamke akiwa romantic ndiyo mwanaume hachepuki au hamuachi si eti?
Mule mule yaaniAll the time yani[emoji28][emoji28][emoji28] hawa watoto hawaelewi tu kuwa mwanamke akiwa romantic ni tiba na ndio maana michepuko inatutekaga mazima[emoji28] sababu wanakuwaga romantic kichizi
Wengi kauli chafu na kejeli ndio zimewajaa sikuhizi!
wake zetu huku matejoo akiamka anakuja kukuskutulia na limswaki lake wakati unakunywa chai huku anabonga kinyama!!hahaha
Kumbe wewe ni manzee wange🤣 🤣 🤣 🤣 Wanaume hamtabiriki kabisa unaweza kuwa na Mke Romantic nyumbani lakini ukawa unachepuka na Wanawake ambao siyo Romantic.
Wanawafelisha watoto pasi na kujuaSanaa. Na baadhi ya wazazi pia wanachangia (Malezi)
Mie sipati shida kumjua tapeli wa mapenziNyie ndo mnatakiwa kutofautisha.
Na sio nyote mnaoweza
Umeongea ukweli kbs. Ukimpata mwanamke ambae yupo romantic trust me hata umri wako wa kuishi duniani unaongezeka. Ndio maana michepuko wanatuiba sanaMwanamke kua romantic nadhan Ni tabia TU ya ndan ya mwanamke mwnyw jins MUNGU alivyomuumba.
Pesa Ina nafs ila sio kivile sana