Mwanamke sio mtu wa mchezo,,,true event!!!

Wanawake wanaakili nyingi sana kuliko sisi wanaume...ndyo maana huwa nawaheshimu na kuwaogopa!
si kweli ila wana ipuuzi mwingi kuliko sie na udhubutu wa kipuuzi sana.

sasa hapa nani mwenye akili mwanamke ana mwanaume. sema mwanamke kawa na udhubutu na ujasiri wa kipuuzi
 
Anaweza kuwa anafanya sema sifatilii...sitaki presha najipenda mie!

Nyie wanaume ndo wahuni halafu mnajifanya mna wivu na vinara wa kuhack mawasiliano! eeew! Yaliyonikutaga sitakagi hata kukumbukaga[emoji24]
Baelezee kidogo hyo mastori
 
Anaweza kuwa anafanya sema sifatilii...sitaki presha najipenda mie!

Nyie wanaume ndo wahuni halafu mnajifanya mna wivu na vinara wa kuhack mawasiliano! eeew! Yaliyonikutaga sitakagi hata kukumbukaga[emoji24]
Umfatilie mwanaume ili ufe mapema au upate kiharusi??vyakula vya chumvi vitamu saana
 
Anaweza kuwa anafanya sema sifatilii...sitaki presha najipenda mie!

Nyie wanaume ndo wahuni halafu mnajifanya mna wivu na vinara wa kuhack mawasiliano! eeew! Yaliyonikutaga sitakagi hata kukumbukaga[emoji24]
tumegee kidogo Wity
 
well said jamaa kiazi
 
basi story n ya kutunga
 
Why? Nipe strong reason
Naomba nimsaidie kujibu.
There is a famous proverb which says "Caesar's wife must be above suspicion."

Hii ni kusema mke/mwanamke wa mtu yeyote hapaswi hata kuhisiwa anachepuka kwa umuhimu na heshima ya mwanamke kwa binadamu wote.
 
Sasa wit definition ya mimi kukuhudumia kila kitu, na Baadae nikakulipia posa
Si sawa na kukumiliki
Huwezi kummiliki binadamu bana huo ndo ukweli!

Kutoa posa ni heshima tu na kuzuga zuga familia yangu isionekane nimechukuliwa na mhuni mweeh!
 
Naomba nimsaidie kujibu.
There is a famous proverb which says "Caesar's wife must be above suspicion."

Hii ni kusema mke/mwanamke wa mtu yeyote hapaswi hata kuhisiwa anachepuka kwa umuhimu na heshima ya mwanamke kwa binadamu wote.
Hakuna kitu kama hicho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…