Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haahaahaa....pouwa pouwa mamiiWakikujibu watatu tu hili swali lako nitag Mumy. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wengi wana ujasiri wa ajabu. Hawaogopi madhara ya kile wanachofanya. Fikiria ninja Medrick angekuja na maninja wenzie kulipa kisasi kwa mchizi wa bodaboda! Si nyumba ya watu ingechafuka?Wanawake wanaakili nyingi sana kuliko sisi wanaume...ndyo maana huwa nawaheshimu na kuwaogopa!
☻☻☻☻Wakikujibu watatu tu hili swali lako nitag Mumy. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mi sijambo nimeamka salama kabisa. Za wewe?☻☻☻☻
Uko sahihi!! Huyo jamaa naye hazimtoshi tu, hivi nampishaje mgeni wangu kitanda changu na mke wangu?Huyo jamaa mwenyewe alitaka kudanganywa sababu kwani mgeni hawezi lala hapo sebleni au si angesubiri aje ndipo wajue namna ya kumlaza huyo mgeni au kama ndio jamaa kuondoka angeondoka.
Mwenyewe ndio sababu ya kufanyiwa hiyo mnayoiita akili sababu hajui kijiongeza. Pole kwake.
Hivyo kachukua maamuzi gani?
Salama kabisa dada yangu mpendwa""Mi sijambo nimeamka salama kabisa. Za wewe?
Amedanganywa kianalogia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]""Uko sahihi!! Huyo jamaa naye hazimtoshi tu, hivi nampishaje mgeni wangu kitanda changu na mke wangu?
Huyo mgeni kwanini asingemsubiri halafu akampeleka lodge?
Au ndo "ben ten" kakaribishwa kwenye geto la mwanamke hivyo anaamrishwa vile mwenye geto anataka!?
Hii haikutokea ki ukweli. Ni ya kutunga. Hivi shemeji yako anaweza kuja nyumbani kwako na ukaamua kuondoka bila angalau kumsalimia? Haya... pengine unaogopa kuonana naye, lakini bado kuna simu. Na kingine... kwa hali ya kawaida mgeni anatafutiwa sehemu ya kulala na si rahisi kupishwa na mwenyeji akaenda kutafuta makazi.Mkuki kwa nguruwe tu!! Sema nadhani technique ya huyo mdada ndo ya kiboya!
Uko sahihi!! Huyo jamaa naye hazimtoshi tu, hivi nampishaje mgeni wangu kitanda changu na mke wangu?
Huyo mgeni kwanini asingemsubiri halafu akampeleka lodge?
Au ndo "ben ten" kakaribishwa kwenye geto la mwanamke hivyo anaamrishwa vile mwenye geto anataka!?
you can't hold it !Why? Nipe strong reason
I can...plizyou can't hold it !
avatar yako nzuriI can...pliz
Unanijaza eeh?...acha kuzingua nipe reasonavatar yako nzuri
ona sasa nimesahau cha kuandika
natamani ningefanya hivyo ila nimejikaza nisikwambieUnanijaza eeh?...acha kuzingua nipe reason
Khaa[emoji15] [emoji15] ..basi yaishenatamani ningefanya hivyo ila nimejikaza nisikwambie
nimeona nitalipuka moyoni
laba kama kweli unataka reason njoo pm nitakutumia hadi voice note
bora yameisha nitakuwa na amani moyoni dahhKhaa[emoji15] [emoji15] ..basi yaishe
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] we jamaa huwaga mwehu[emoji125] [emoji125]bora yameisha nitakuwa na amani moyoni dahh
bado kidogo nizime simu
[emoji15] [emoji15] [emoji15]Kwani wanaume hamfanyagi hivi vitu? Mbona nyie ndo vinara!