Mwanamke sio mtu wa mchezo,,,true event!!!

Mwanamke sio mtu wa mchezo,,,true event!!!

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]


Ni aibu mwanaume kuongea ujinga kama huu. Embu fikiria ndio mme wako unayemuamini alafu unamsikia akitema shudu kama hili. Kipindi hicho uliamini una mume mwenye akili leo unasikia eti unamzidi. Kama si ndoa kuvunjika huku ni nini anatafuta.

Ifike hatua vijana wasiku hizi waache kututia aibu jamani
 
Tatizo wanawake wengi ktk haya mambo hawanaga techniques mwisho wake huishia kudakwa tu
 
Kwani wanaume hamfanyagi hivi vitu? Mbona nyie ndo vinara!

Kwa sasa mezani ipo mada ya masahibu yaliyomkuta Medrick kama ipo mada ya mwanamke kufumania kwa mtindo huu au zaidi ya huu ungeileta ndugu mjumbe tofauti na hapo acha tuendelee kusema kila siku tunajifunza mabalaa mapya kupitia wake zetu.
 
Ndo nini sasa hiki
Hiki kinalenga kwamba kwa vile huwezi beba mimba za wanaume kadhaa basi hurusiwi kua na zaidi ya mmoja. Mwanaume anauwezo wa kubebesha mimba wanawake kadhaa.

Ukiwa mwezini hurusiwi kuingiliwa hivyo utawatesa wanaume zako.

Mwanaume hapati hedhi hawezi kuwatesa wake zake.

Sio lazima ukubali hili
 
Ni aibu mwanaume kuongea ujinga kama huu. Embu fikiria ndio mme wako unayemuamini alafu unamsikia akitema shudu kama hili. Kipindi hicho uliamini una mume mwenye akili leo unasikia eti unamzidi. Kama si ndoa kuvunjika huku ni nini anatafuta.

Ifike hatua vijana wasiku hizi waache kututia aibu jamani
Ahaaaahaaaa....kweli asee!

Na wale wanaume wanaoomba hela wanawake unawazungumziaje??
 
We ungetupa story tu ili tujifunze..kusema mwanamke si wa kumuamini unamaanisha nini? Kuwa wanaume hawafanyi upuuzi wa kutokuaminika. Hivyo ni vimbwaga tu katika mapenzi vipo pande zote.
Lkn huyo dada nae boya kweli kweli, alishindwaje kwenda kula raha sehemu nyingine?
 
Ahaaaahaaaa....kweli asee!

Na wale wanaume wanaoomba hela wanawake unawazungumziaje??


Hao ndio wanasema wanawake wana akili kubwa. Ukiwauliza wanaanza kutoa sababu uchwara. Mara sijui Samson na Delila, Mara sijui Adam na Hawa. Ujinga tuu. Yaani nikimsikia mtoto wangu wakiume akiongea shudu kama hili wallah nafukuza nyumbani.

Huo ni ushoga tuu. Wamebakiza kugeuzwa tuu. Mwanaume ndiye atakula kwa jasho yaani kwa kutafuta na si kuomba omba kama jike. Baadhi ya wanaume wa siku hizi wanashindwa hata na Jogoo.
 
Hao ndio wanasema wanawake wana akili kubwa. Ukiwauliza wanaanza kutoa sababu uchwara. Mara sijui Samson na Delila, Mara sijui Adam na Hawa. Ujinga tuu. Yaani nikimsikia mtoto wangu wakiume akiongea shudu kama hili wallah nafukuza nyumbani.

Huo ni ushoga tuu. Wamebakiza kugeuzwa tuu. Mwanaume ndiye atakula kwa jasho yaani kwa kutafuta na si kuomba omba kama jike. Baadhi ya wanaume wa siku hizi wanashindwa hata na Jogoo.
Kweli mkuu....yaan siku hizi real gentleman ni wa kuokoteza asee
 
Back
Top Bottom