Mr Sir1
JF-Expert Member
- Sep 23, 2018
- 1,749
- 7,945
Nishakuwa na maovu tena.Acha kutafuta uchochoro wa kuficha maovu yako
Basi sawa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nishakuwa na maovu tena.Acha kutafuta uchochoro wa kuficha maovu yako
Wameolewa na wahuni wenzako.Waliolewa na hizo tattoos na maisha yanaendelea unawaambiaje?
Mna sura za baba zenu ama mna tabia mbaya.Je sisi ambao hatujachora na hatujaolewa kliniki tumesindikizwa na kaka zetu vile vile unataka kusemaje?
Lakini hizi tattoo za kisasa zinafutika ukitaka kuondowa.Tattoo zina tafsiri chanya huko majuu, lkn siyo hapa Bongoland. Watu wengi wanatafsiri tattoo kama uhuni (wezi, makahaba na maraibu wa madawa ya kulevya).
Hakuna mwanaume atakuoa mwanamke uliyechora tattoo kwenye mapaja, sehemu za siri, kwenye titi, mabegani ama mikononi. Haya yote ni maeneo ambayo mwanamke hapaswi kushikwa shikwa na mwanaume asiye mmewe.
Kwahiyo mwanamke mwenye tattoo anatafsiriwa kama kahaba aliyepitiliza viwango vya ukahaba. Utadoda na kuzalia kwenu halafu kliniki utasindikizwa na babako na kakako (aibu ya mwaka hii)
Ni mm kungwi la kitaa Sexless
Fuatilia mwaka wa 6 na wa 7 ujiridhishe kama ndoa itaendeleaKuna demu rafiki yangu wa zamani ana tattoo ameolewa na mshikaji operator wa ma earth movers leo wana miaka 5 kwenye ndoa na wana mtoto 1
Mwanamke mwenye tattoo ni bidhaa ya ukahaba yenye labelkama ni ukahaba kuna wake za watu wa ndoa kabisa ni zaidi ya makahaba.
Smoker wa aina yoyote usioe. Hiyo ni takatakaDemu wangu nimemuacha baada ya kugundua anavuta shisha , japo yeye anadai inampa flavour ya chungwa 😁😁😁 Yule muarusha mzuri walah
Kumbe wewe ni Mwanamke?Tattoo zina tafsiri chanya huko majuu, lkn siyo hapa Bongoland. Watu wengi wanatafsiri tattoo kama uhuni (wezi, makahaba na maraibu wa madawa ya kulevya).
Hakuna mwanaume atakuoa mwanamke uliyechora tattoo kwenye mapaja, sehemu za siri, kwenye titi, mabegani ama mikononi. Haya yote ni maeneo ambayo mwanamke hapaswi kushikwa shikwa na mwanaume asiye mmewe.
Kwahiyo mwanamke mwenye tattoo anatafsiriwa kama kahaba aliyepitiliza viwango vya ukahaba. Utadoda na kuzalia kwenu halafu kliniki utasindikizwa na babako na kakako (aibu ya mwaka hii)
Ni mm kungwi la kitaa Sexless
SinaKule Kuna mtu kakutaja , vp! we huna tatuu
We hoja yako ilikuwa kuolewa au kudumu kwenye ndoa? Ndo shida ya kukurupuka na generalizations bila utafitiFuatilia mwaka wa 6 na wa 7 ujiridhishe kama ndoa itaendelea
Kwahiyo umekurupuka??We hoja yako ilikuwa kuolewa au kudumu kwenye ndoa? Ndo shida ya kukurupuka na generalizations bila utafiti
Duh basi tunashukuru sisi wenye sura za baba hakuna kuolewa.Wameolewa na wahuni wenzako.
Mna sura za baba zenu ama mna tabia mbaya.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nipo na mama mtoto hapa amejichora tattoo yake ya mgongo hana shida na mtu
Tuondolee utata maana dunia imeshaharibika, wewe ni jinsia ya kike?Kwahiyo umekurupuka??
Yani demu kuvuta shisha ndio unaacha utamu? Aisee bora ungesema ulitaka kumuowa akashindwa kuacha shisha angalau ningekuelewaDemu wangu nimemuacha baada ya kugundua anavuta shisha , japo yeye anadai inampa flavour ya chungwa 😁😁😁 Yule muarusha mzuri walah
Ninyi ndiyo mna-promote uovu huu uendeleeNapenda wale waliochora tattoo pale nyuma ya kiuno karibu na mchirizi wa matako hasa wale waliochora kipepeo au ua
Ukimpiga doggy style kila ukitazama ule mchoro unazidi kupata mzuka wa kumpelekea moto tena ukute anayejua kuukatikia mkuyenge wewe ni kuchapa tuvibao twa matakoNinyi ndiyo mna-promote uovu huu uendelee