Mwanamke ukijichora tattoo, huolewi "ng'o!

Mwanamke ukijichora tattoo, huolewi "ng'o!

Ukimpiga doggy style kila ukitazama ule mchoro unazidi kupata mzuka wa kumpelekea moto tena ukute anayejua kuukatikia mkuyenge wewe ni kuchapa tuvibao twa matako
Mmh,! Unaongea mambo ya wakubwa mno. Sisi watoto unatuacha njia panda
 
Nipo na mama mtoto hapa amejichora tattoo yake ya mgongo hana shida na mtu
She belongs to the streets!!
images.jpg
 
Kwahiyo Wanawake wasio na tattoo wao wote sio malaya?
Wanawake wenye tattoo ni makahaba wenye label za TBS ya ukahaba au unaweza sema Wana veti vya ukahaba.

Bila shaka unajua tofauti ya gesti bubu na ile iliyo rasmi.
 
Hapana. Tabia huendana na mitindo ya muonekano na mavazi. Usitake tuamini mwanaume ambaye siyo shoga anaweza kujiremba kama mwanamke.

Usitake tuamini mtu ambaye siyo mbuga bangi anaweza kuongea kama teja.

Usitake tuamini mwanamke amabye siyo kahaba anaweza kuvaa vikuku, kijichora tattoo na kujipodoa kuliko pitiloza.

Acha kutafuta uchochoro wa kuficha maovu yako

Heeeee na wavaa vikuku umetuingiza jamani? Ni huzuni kwa kweli
 
Ila huwa sina uhakika na hili, lakini nimeshuhudia mara kadhaa rafiki zangu wa karibu wakiogopa wanawake wenye tattoo katika maongezi, japo huwa naona kawaida.
 
Tattoo zina tafsiri chanya huko majuu, lkn siyo hapa Bongoland. Watu wengi wanatafsiri tattoo kama uhuni (wezi, makahaba na maraibu wa madawa ya kulevya).

Hakuna mwanaume atakuoa mwanamke uliyechora tattoo kwenye mapaja, sehemu za siri, kwenye titi, mabegani ama mikononi. Haya yote ni maeneo ambayo mwanamke hapaswi kushikwa shikwa na mwanaume asiye mmewe.

Kwahiyo mwanamke mwenye tattoo anatafsiriwa kama kahaba aliyepitiliza viwango vya ukahaba. Utadoda na kuzalia kwenu halafu kliniki utasindikizwa na babako na kakako (aibu ya mwaka hii)

Ni mm kungwi la kitaa Sexless
Ilikuwa na kishungi au ulitumia jaladio la daftari? Dunia imebadilika unawacha kuwafokea wanao leta tamaduni mbaya kwetu mpaka watoto wetu tunaishi nao kwa mashaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom