Mwanamke ukijichora tattoo, huolewi "ng'o!

Lakini hizi tattoo za kisasa zinafutika ukitaka kuondowa.

Kwenye maadili hata mwanaume ukiwa na tatoo hurusiwi kujiunga na Majeshi yetu.

Wanapenda hizo tatoo wachore temporary tattoo ambazo ni removable, zina raha yake kwa mabinti kwenye usichana wao, kama ni ukahaba kuna wake za watu wa ndoa kabisa ni zaidi ya makahaba.
 
Demu wangu nimemuacha baada ya kugundua anavuta shisha , japo yeye anadai inampa flavour ya chungwa 😁😁😁 Yule muarusha mzuri walah
Smoker wa aina yoyote usioe. Hiyo ni takataka
 
Kumbe wewe ni Mwanamke?
 
Demu wangu nimemuacha baada ya kugundua anavuta shisha , japo yeye anadai inampa flavour ya chungwa 😁😁😁 Yule muarusha mzuri walah
Yani demu kuvuta shisha ndio unaacha utamu? Aisee bora ungesema ulitaka kumuowa akashindwa kuacha shisha angalau ningekuelewa
 
Wenye tattoos wana shoo za kibabe sana kitandani watamu sana kupiga nao fantasies ambazo huwezi fanya na manzi mnaheshimiana au mke

Napenda wale waliochora tattoo pale nyuma ya kiuno kwa chini kaaribu na mfereji wa matako hasa wale waliochora kipepeo au ua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…