Mwanamke ukimpata mpenzi anayekupa hela, anakuridhisha na kukutunza shikamana

Mwanamke ukimpata mpenzi anayekupa hela, anakuridhisha na kukutunza shikamana

Sasa jiwe gani la kizani shoga mbona umesema waziwazi? Au nikufundishe jinsi ya kurusha jiwe kizani nini? Unaonekana mgeni mwaya bado una kamba mguuni kwenye hayo mambo.

Kaka mzuri anakunywa chai nchi za watu huko mpenzi, na kuhusu ndoa usiwaze wala sio pumzi hiyo.
Chill.
Naona umepanic tu bure da niffa mpenzi wa mie😃😃,,.. me sikua na lengo la kukuattack naona umenisoma vizuri ila nashangaa ulivyokua attacked 🤣🤣🤣

Pole mwaya ndo maisha hayo dadangu
 
Kweli....??🙂

In all honesty, I'm all about living a good life & I'm a bad spender 🙈 , so, it's obvious najua umuhimu wa hela. Lakini haijawahi kuwa kigezo cha mimi kuingia kwenye mahusiano... Na moja ya principles zangu ni kutoingia kwenye mahusiano when I'm struggling financially, kwasababu sipendi wala sitaki kuwa tegemezi kwa mwanaume.
Lakini Lizzy kwanini huwa unanisemea kila wakati? Imefikia stage sipendi 🤣🤣

We mtu gani kila siku mawazo yako yawe sawa na mimi? Kule kwingine ulisema sababu wewe ni Dr, haya leo hapa unasemaje?
 
Ndio jina langu jipya, sababu nimesema pesa na mlima kibo sio vipaumbele vyangu 🤣

Oke oke, malaika wa jf nimekupata 🤣

Lakini seriously sijui kwanini mtu anashindwa kuelewa tofauti kati ya vipaumbele na akiwa nacho ni better
Nani hapendi pesa?nani hapendi kufikishwa?

Mwanaume akiwa na pesa na anakufikisha ni jambo zuri sana lakini sio kwamba kama hana pesa ama hanifikishi ndio iwe kigezo cha mimi kumkataa...binafsi najua mahusiano ya kimapenzi yana mengi ya ku-offer zaidi ya hayo
 
Oke oke, malaika wa jf nimekupata 🤣

Lakini seriously sijui kwanini mtu anashindwa kuelewa tofauti kati ya vipaumbele na akiwa nacho ni better
Nani hapendi pesa?nani hapendi kufikishwa?

Mwanaume akiwa na pesa na anakufikisha ni jambo zuri sana lakini sio kwamba kama hana pesa ama hanifikishi ndio iwe kigezo cha mimi kumkataa...binafsi najua mahusiano ya kimapenzi yana mengi ya ku-offer zaidi ya hayo
THANKS!
 
Pole mwaya naona jiwe limekupata gizani shogaangu...
Eti mimi wa nini😂😂,, unahisi mimi nina kazi na wewe labda??,, halafu kufatilia kila post mimi ndo unaona leo?? Na kwenye uzi huu??
Em mpikie kwanza kaka mzuri chai usije ukakosa tena ndoa kisa walimwengu kama sisi tusio na akili🤣🤣🤣🤣🙌

Alie-hack hii ID nisimkamate!!
 
Hawa watu sijui tuwafanyie nini, mimi huwa nafanya niwezalo, nisiloweza basi but nahakikisha kila nifanyalo nalifanya kwa upendo ukizingatia mimi sio mtu wa kuruka ruka hovyo na ke tofauti tofauti, napenda utulivu.

Kwema huko ulipo babu 1988 ulikuwa 53 we ni babu G kabisa
Imagine kumiliki miaka 53 miaka 36 iliyopita 😜
------------
Maisha ya sasa Mwanaume usipotulia ni vigumu sana kupata maendeleo.

Maana hakuna Mwanamke utaanzisha naye mahusiano usiache kumuhudumia,

Imagine una Mademu 3 Kwa pamoja. Utaweza kweli kujenga na kujiwekeza? Maana kipato chako chote kitakuwa kinaishia Kwao tu 😜

Pia kuna risk ya kupata maradhi

Hivyo Chukueni tahadhari
 
Alie-hack hii ID nisimkamate!!
Shogaangu sijui nimepatwa na nini leo😥😥 ,, ngoja nikague kwanza chupa nilizokunywa jana usiku kama zenyewe au nilichanganya madesa..

Anyways.. Yaani da Nifah angejua kama ni role model wangu wala asingejichosha kushusha haya magazeti yote..
Hata sielewi kilichomfanya apanic ni nini maana sikua na lengo la kumuattack, Niombee msamaha best yangu, nimekoma kuropoka ropoka...
Nifah Nifah Nifah nimekuita mara tatu kipenzi changu,, sijawahi kua serious am very Sorry ma big ciccy 🙏🙏
 
Shogaangu sijui nimepatwa na nini leo😥😥 ,, ngoja nikague kwanza chupa nilizokunywa jana usiku kama zenyewe au nilichanganya madesa..

Anyways.. Yaani da Nifah angejua kama ni role model wangu wala asingejichosha kushusha haya magazeti yote..
Hata sielewi kilichomfanya apanic ni nini maana sikua na lengo la kumuattack, Niombee msamaha best yangu, nimekoma kuropoka ropoka...
Nifah Nifah Nifah nimekuita mara tatu kipenzi changu,, sijawahi kua serious am very Sorry ma big ciccy 🙏🙏

Huyu ndio Leejay49 ninayemuonaga hapa JF
Hunaga baya...usiharibu sasa kwasababu ya personal attacks ambazo huenda kiuhalisia hujui wapi yalipoanzia na yalipoishia

Naamini uliyemuita mara tatu atakuwa amekuelewa
 
Lakini Lizzy kwanini huwa unanisemea kila wakati? Imefikia stage sipendi 🤣🤣

We mtu gani kila siku mawazo yako yawe sawa na mimi? Kule kwingine ulisema sababu wewe ni Dr, haya leo hapa unasemaje?
We are kindred spirits!!!☺️☺️

Jamani...basi saivi tutakua tunaulizana kwanza Niseme mimi, au useme wewe...? kabla yakuchangia mada za hivi!😊😁

😁😁 Leo ni kwasababu tu I believe in love! And yes, sex and money can deepen love, but they are not the reasons to love!
 
We are kindred spirits!!!☺️☺️

Jamani...basi saivi tutakua tunaulizana kwanza Niseme mimi, au useme wewe...? kabla yakuchangia mada za hivi!😊😁

😁😁 Leo ni kwasababu tu I believe in love! And yes, sex and money can deepen love, but they are not the reasons to love!
Jamani mbona mnakubalinthen mnakanusha? Sasa mbona sie tusio na hela mnatukwepa kama ukoma? Mpo tayari kuliwa mbususu na wenye vibamia wenye hela
 
Shogaangu sijui nimepatwa na nini leo😥😥 ,, ngoja nikague kwanza chupa nilizokunywa jana usiku kama zenyewe au nilichanganya madesa..

Anyways.. Yaani da Nifah angejua kama ni role model wangu wala asingejichosha kushusha haya magazeti yote..
Hata sielewi kilichomfanya apanic ni nini maana sikua na lengo la kumuattack, Niombee msamaha best yangu, nimekoma kuropoka ropoka...
Nifah Nifah Nifah nimekuita mara tatu kipenzi changu,, sijawahi kua serious am very Sorry ma big ciccy 🙏🙏
Sikia Leejay49
Rudi nyuma, fuatilia posts zako wewe na Half american

Sio wewe uliyesema haya? Hapo ulikuwa unamuongelea nani?
 

Attachments

  • IMG_4929.jpeg
    IMG_4929.jpeg
    408.8 KB · Views: 5
Back
Top Bottom