Mwanamke ukimpata mpenzi anayekupa hela, anakuridhisha na kukutunza shikamana

Mwanamke ukimpata mpenzi anayekupa hela, anakuridhisha na kukutunza shikamana

Wanawake wanazingatia sana hayo masuala mawili (Pesa pamoja na kufikishwa)

Nakumbuka Mwaka 1989, binti niliyekuwa namlipia Kodi kule Upanga alinisema karibu nife eti kwanini nimewahi kumaliza na yeye hajafika (nilitumia sekunde 15 kufika safari).

Nikamwambia unajua nina miaka mingapi?(Wakati huo nilikuwa ni Mzee wa miaka 53 na yeye alikuwa Binti wa miaka 20)

Pesa na kumridhisha Mwanamke ni vitu aghalabu sana kuvikuta Kwa Mwanaume mmoja.

Binti ukimpata Mwanaume wa hivyo, hakikisha humpotezi kirahisi 😜
Nilipokuwa mdogo nilikuwa napenda sana kuwatania wazee, sasa nimezeeka nataniwa 😂 Alisikika mzee mmoja wa kada ya Mpwayungu Village

Babu shikamoo
 
Nikupe siri tu.

1.Pendelea ku date na wanawake independent. Hawa wengi huwa wanajiweza kiuchumi na hawana mambo ya ku cling na mashosti but wanafanyaga mambo kwa kutumia akili zao by 100%.

2. Ogopa sana mwanamke ambaye anafosi kuhudumiwa maana aidha hana akili ya pesa au ni mbinafsi sana. Huwezi hata kumpa biashara ya kashata asimamie na kuleta hela ila atakuwa nu ni mtu mlalamishi asiye na shukurani.

3. Ogopa sana mwanamke ambaye hawezi ishi bila kuambatana na mashoga zake. Hapo jua kila mfanyalo litapitishwa kwanza bungeni kwao huko na maamuzi yake yatakuwa based huko kikaoni.
Nikisema umeniongelea mimi hapa itakuwa vita 🤣🤣🤣

Jamani sio kila mwanamke ana njaa, wengine sisi independent hatuingizi njaa zetu kwenye mahusiano.

Laiti wangejua? Mwanamke anayeficha njaa zake ndiye anayekula kivulini. Hakuna mwanaume anayependa mwanamke anayependa hela katika mahusiano, na zaidi kiwe kigezo kabisa.

Itabidi siku niweke uzi kuwapa somo, elimu sio shule peke yake.
 
Kwema?

Jamani, kina dada wenzangu kuna aina flani hivi wa viumbe vya kiume wamekuwa adimu sana, sasa ukimpata anayekufikisha kibo, halafu anakupa hela, yaani anakutunza aiseee huyo shikamana nae, weka ugolo machoni na pamba sikioni usione mwingine yeyote maana hiyo ni Total Package.

Kuna wale wanawasha moto kwelikweli ukitoka hapo mwili wa baridi ila mfukoni tee, halafu kuna wale wenzangu wanachop ila anakuacha na unawakwa moto. By the way kama unae mpenzi ana kimoja katika hivyo basi tuendelee kumuombea Mungu ampe kilichokosekana.

NB: Achana na ile misemo Mungu hakupi vyote huo ni uwooongoooo.
Wadada wanamna hii wanaishia kuwa single tu. Mnakua na expectations sana mwishowe mnakosa vyote, na hamelewek Leo mnatak mashine kesho Pesa. Kwel mandiko yasemavyo tuish nao Kwa akili
 
Nilipokuwa mdogo nilikuwa napenda sana kuwatania wazee, sasa nimezeeka nataniwa 😂 Alisikika mzee mmoja wa kada ya Mpwayungu Village

Babu shikamoo
Mabinti watuonee huruma Wazee, mambo ya kutaka tuwapandishe mlima Kilimanjaro hizo pumzi tunazitoa wapi na Umri huu 🤗
Hahahaha.................kwamba shikamoo zimehamia kwako 😅

Marahaba Mkuu
 
Nikisema umeniongelea mimi hapa itakuwa vita 🤣🤣🤣

Jamani sio kila mwanamke ana njaa, wengine sisi independent hatuingizi njaa zetu kwenye mahusiano.

Laiti wangejua? Mwanamke anayeficha njaa zake ndiye anayekula kivulini. Hakuna mwanaume anayependa mwanamke anayependa hela katika mahusiano, na zaidi kiwe kigezo kabisa.

Itabidi siku niweke uzi kuwapa somo, elimu sio shule peke yake.
Leta mkuu, ukileta namimi nilete wangu mujarabu kabisa, usisahau kunitag
 
Sema neno na roho yangu itapona Dr
Kweli....??🙂

In all honesty, I'm all about living a good life & I'm a bad spender 🙈 , so, it's obvious najua umuhimu wa hela. Lakini haijawahi kuwa kigezo cha mimi kuingia kwenye mahusiano... Na moja ya principles zangu ni kutoingia kwenye mahusiano when I'm struggling financially, kwasababu sipendi wala sitaki kuwa tegemezi kwa mwanaume. Maisha yakinipiga nakopa kopa kwa watu wangu wa karibu mwishowe narejesha.

Ila kutokana na huu mjadala ngoja nimtafute ex mmoja nijiweke na mimi nipate kutunzwa walau kidogo maana niliwavumilia wakati wanajitafuta.😌
 
Mabinti watuonee huruma Wazee, mambo ya kutaka tuwapandishe mlima Kilimanjaro hizo pumzi tunazitoa wapi na Umri huu 🤗
Hahahaha.................kwamba shikamoo zimehamia kwako 😅

Marahaba Mkuu
Hawa watu sijui tuwafanyie nini, mimi huwa nafanya niwezalo, nisiloweza basi but nahakikisha kila nifanyalo nalifanya kwa upendo ukizingatia mimi sio mtu wa kuruka ruka hovyo na ke tofauti tofauti, napenda utulivu.

Kwema huko ulipo babu 1988 ulikuwa 53 we ni babu G kabisa
 
Jiulize wewe, post yangu moja umefuatilia kila anayeijibu, na usingeongelea mambo yangu wala nisingekugusa.
Wa nini mimi wewe?
Pole mwaya naona jiwe limekupata gizani shogaangu...
Eti mimi wa nini😂😂,, unahisi mimi nina kazi na wewe labda??,, halafu kufatilia kila post mimi ndo unaona leo?? Na kwenye uzi huu??
Em mpikie kwanza kaka mzuri chai usije ukakosa tena ndoa kisa walimwengu kama sisi tusio na akili🤣🤣🤣🤣🙌
 
Kweli....??🙂

In all honesty, I'm all about living a good life & I'm a bad spender 🙈 , so, it's obvious najua umuhimu wa hela. Lakini haijawahi kuwa kigezo cha mimi kuingia kwenye mahusiano... Na moja ya principles zangu ni kutoingia kwenye mahusiano when I'm struggling financially, kwasababu sipendi wala sitaki kuwa tegemezi kwa mwanaume. Maisha yakinipiga nakopa kopa kwa watu wangu wa karibu mwishowe narejesha.

Ila kutokana na huu mjadala ngoja nimtafute ex mmoja nijiweke na mimi nipate kutunzwa walau kidogo maana niliwavumilia wakati wanajitafuta.😌
nadhani ushajua nilichotaka kukisema.
 
Kweli....??🙂

In all honesty, I'm all about living a good life & I'm a bad spender 🙈 , so, it's obvious najua umuhimu wa hela. Lakini haijawahi kuwa kigezo cha mimi kuingia kwenye mahusiano... Na moja ya principles zangu ni kutoingia kwenye mahusiano when I'm struggling financially, kwasababu sipendi wala sitaki kuwa tegemezi kwa mwanaume. Maisha yakinipiga nakopa kopa kwa watu wangu wa karibu mwishowe narejesha.

Ila kutokana na huu mjadala ngoja nimtafute ex mmoja nijiweke na mimi nipate kutunzwa walau kidogo maana niliwavumilia wakati wanajitafuta.😌

Kwa hiyo wewe cha msingi ni hela na siyo kufika kibo?
 
Pole mwaya naona jiwe limekupata gizani shogaangu...
Eti mimi wa nini😂😂,, unahisi mimi nina kazi na wewe labda??,, halafu kufatilia kila post mimi ndo unaona leo?? Na kwenye uzi huu??
Em mpikie kwanza kaka mzuri chai usije ukakosa tena ndoa kisa walimwengu kama sisi tusio na akili🤣🤣🤣🤣🙌
Sasa jiwe gani la kizani shoga mbona umesema waziwazi? Au nikufundishe jinsi ya kurusha jiwe kizani nini? Unaonekana mgeni mwaya bado una kamba mguuni kwenye hayo mambo.

Kaka mzuri anakunywa chai nchi za watu huko mpenzi, na kuhusu ndoa usiwaze wala sio pumzi hiyo.
Chill.
 
Kweli....??🙂

In all honesty, I'm all about living a good life & I'm a bad spender 🙈 , so, it's obvious najua umuhimu wa hela. Lakini haijawahi kuwa kigezo cha mimi kuingia kwenye mahusiano... Na moja ya principles zangu ni kutoingia kwenye mahusiano when I'm struggling financially, kwasababu sipendi wala sitaki kuwa tegemezi kwa mwanaume. Maisha yakinipiga nakopa kopa kwa watu wangu wa karibu mwishowe narejesha.

Ila kutokana na huu mjadala ngoja nimtafute ex mmoja nijiweke na mimi nipate kutunzwa walau kidogo maana niliwavumilia wakati wanajitafuta.😌
Mmm Kwa expalanation zako u r wife material kabsa ila last paragraph imeshusha credit.
 
Back
Top Bottom