Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,009
- 60,629
What can I say, nimeshapitwa na wakati!🤷🏾♀️😏🤣🤣🤣🤣Mjumbe bwana kuwa straight Mungu hapendi uongo....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
What can I say, nimeshapitwa na wakati!🤷🏾♀️😏🤣🤣🤣🤣Mjumbe bwana kuwa straight Mungu hapendi uongo....
Sasa ukidet na wanawake wa kiswahilini wale rate ya kulogwa anytime inakuwa ni 80%....Wengi akili ndogo halafu shule walienda kujifunza kuhesabu na kusoma tu ila hawajaelimika na kupata exposure.Mkuu hakuna kitu naogopa kama kutengenezwa, mtu akikuroga tayari kashakumaliza.
Ni suprise daktari subiri yafike 😅Yanakuja na sh. Ngapi...?😊😁
Hao hapana kabisa, halafu ni wepesi sana kushawishika kufanya mambo hayo.Sasa ukidet na wanawake wa kiswahilini wale rate ya kulogwa anytime inakuwa ni 80%....Wengi akili ndogo halafu shule walienda kujifunza kuhesabu na kusoma tu ila hawajaelimika na kupata exposure.
Hapo ule msemo wa kila mtu ashinde mechi zake ndo unatumika😃😂
Uko vizuri sana. HongeraNo hata sio kusema uwezo wa kustahili genye but ni kufanya choices nzuri. Kuna aina ya wanawake wako freshi tu. Uzuri mi nikikaa na mtu tukaongea kwa zaidi ya nusu saa nakuwa nishaisoma mentality yake chap.
Nakusalimia shikamooNini tena mpwa?
Muda ni hakimu wa hayo yote, ni kuzichanga karata vizuri.Hapo ndo ule msemo wa kila mtu ashinde mechi zake ndo unatumika😃😂
Yeah 👊👊Muda ni hakimu wa hayo yote, ni kuzichanga karata
Nikupe siri tu.Hao hapana kabisa, halafu ni wepesi sana kushawishika kufanya mambo hayo.
Marahaba mama!Nakusalimia shikamoo
Marahaba mama!
Asante sana, nimejifunza mengi sana kuhusu psychology yenu nashukuru wanawake hawanisumbuagi.Uko vizuri sana. Hongera
Asante sana. Afya ya akili ni jambo la msingi sana.Una upeo mkubwa sana wa kuichambua hii mada... asante umeniongezea kigezo Cha tatu "afya ya akili"
Nadhani watu wa aina yako mmebaki wawili tu hadi sasa,. Wewe na baby dadie wangu, ananielewa sana na hatujai kusumbuana👊👊Asante sana, nimejifunza mengi sana kuhusu psychology yenu nashukuru wanawake hawanisumbuagi.
Ooh you got a baby, hongera sana mamii. Tuko wachache kwa kweli mi mtu ambaye atashindwana na mimi basi atakuwa na matatizo makubwa mno.Nadhani watu wa aina yako mmebaki wawili tu hadi sasa,. Wewe na baby dadie wangu, ananielewa sana na hatujai kusumbuana👊👊
Uhalisia wa mtu haujifichi ng'oo utafake lakini utachoka, uzuri ni kuwa kila mtu ana vipaumbele vyake na anajua anachokitafuta.Yeah 👊👊
Ila sometimes better ukawa real mtu akusome kuanzia mwanzo wewe ni mtu wa aina gani ajue ataenda na wewe aje,, utajibanaa mwisho wa siku makucha hayafichiki unaumbuka unaachwa😃😂😂😂
Hakika haya ni ya muhimu, nitaishi humo mkuuNikupe siri tu.
1.Pendelea ku date na wanawake independent. Hawa wengi huwa wanajiweza kiuchumi na hawana mambo ya ku cling na mashosti but wanafanyaga mambo kwa kutumia akili zao by 100%.
2. Ogopa sana mwanamke ambaye anafosi kuhudumiwa maana aidha hana akili ya pesa au ni mbinafsi sana. Huwezi hata kumpa biashara ya kashata asimamie na kuleta hela ila atakuwa nu ni mtu mlalamishi asiye na shukurani.
3. Ogopa sana mwanamke ambaye hawezi ishi bila kuambatana na mashoga zake. Hapo jua kila mfanyalo litapitishwa kwanza bungeni kwao huko na maamuzi yake yatakuwa based huko kikaoni.
Duh wewe utakuwa na high sex drive/libido yaani unapelekewa 🔥 non stop na huchoki.Aisee me nataka anaejua kupeleka moto iie kiukweli ukweli,, hela me mwenyewe mtafutaji mzuri sana.. Na akiw na vyote pia sawa