Naona umepanic tu bure da niffa mpenzi wa mieππ,,.. me sikua na lengo la kukuattack naona umenisoma vizuri ila nashangaa ulivyokua attacked π€£π€£π€£Sasa jiwe gani la kizani shoga mbona umesema waziwazi? Au nikufundishe jinsi ya kurusha jiwe kizani nini? Unaonekana mgeni mwaya bado una kamba mguuni kwenye hayo mambo.
Kaka mzuri anakunywa chai nchi za watu huko mpenzi, na kuhusu ndoa usiwaze wala sio pumzi hiyo.
Chill.
Kwamba niachane na mambo yakujitunza na kutunzana niingie kwenye chama cha kutunzwa ehhh.... ππnadhani ushajua nilichotaka kukisema.
Lakini Lizzy kwanini huwa unanisemea kila wakati? Imefikia stage sipendi π€£π€£Kweli....??π
In all honesty, I'm all about living a good life & I'm a bad spender π , so, it's obvious najua umuhimu wa hela. Lakini haijawahi kuwa kigezo cha mimi kuingia kwenye mahusiano... Na moja ya principles zangu ni kutoingia kwenye mahusiano when I'm struggling financially, kwasababu sipendi wala sitaki kuwa tegemezi kwa mwanaume.
Nijibie tafadhali!π€Kwa hiyo wewe cha msingi ni hela na siyo kufika kibo?
Ndio jina langu jipya, sababu nimesema pesa na mlima kibo sio vipaumbele vyangu π€£
Kutoka 100 mpaka ngapi??π³Mmm Kwa expalanation zako u r wife material kabsa ila last paragraph imeshusha credit.
THANKS!Oke oke, malaika wa jf nimekupata π€£
Lakini seriously sijui kwanini mtu anashindwa kuelewa tofauti kati ya vipaumbele na akiwa nacho ni better
Nani hapendi pesa?nani hapendi kufikishwa?
Mwanaume akiwa na pesa na anakufikisha ni jambo zuri sana lakini sio kwamba kama hana pesa ama hanifikishi ndio iwe kigezo cha mimi kumkataa...binafsi najua mahusiano ya kimapenzi yana mengi ya ku-offer zaidi ya hayo
Pole mwaya naona jiwe limekupata gizani shogaangu...
Eti mimi wa niniππ,, unahisi mimi nina kazi na wewe labda??,, halafu kufatilia kila post mimi ndo unaona leo?? Na kwenye uzi huu??
Em mpikie kwanza kaka mzuri chai usije ukakosa tena ndoa kisa walimwengu kama sisi tusio na akiliπ€£π€£π€£π€£π
Imagine kumiliki miaka 53 miaka 36 iliyopita πHawa watu sijui tuwafanyie nini, mimi huwa nafanya niwezalo, nisiloweza basi but nahakikisha kila nifanyalo nalifanya kwa upendo ukizingatia mimi sio mtu wa kuruka ruka hovyo na ke tofauti tofauti, napenda utulivu.
Kwema huko ulipo babu 1988 ulikuwa 53 we ni babu G kabisa
Shogaangu sijui nimepatwa na nini leoπ₯π₯ ,, ngoja nikague kwanza chupa nilizokunywa jana usiku kama zenyewe au nilichanganya madesa..Alie-hack hii ID nisimkamate!!
Shogaangu sijui nimepatwa na nini leoπ₯π₯ ,, ngoja nikague kwanza chupa nilizokunywa jana usiku kama zenyewe au nilichanganya madesa..
Anyways.. Yaani da Nifah angejua kama ni role model wangu wala asingejichosha kushusha haya magazeti yote..
Hata sielewi kilichomfanya apanic ni nini maana sikua na lengo la kumuattack, Niombee msamaha best yangu, nimekoma kuropoka ropoka...
Nifah Nifah Nifah nimekuita mara tatu kipenzi changu,, sijawahi kua serious am very Sorry ma big ciccy ππ
We are kindred spirits!!!βΊοΈβΊοΈLakini Lizzy kwanini huwa unanisemea kila wakati? Imefikia stage sipendi π€£π€£
We mtu gani kila siku mawazo yako yawe sawa na mimi? Kule kwingine ulisema sababu wewe ni Dr, haya leo hapa unasemaje?
Bora wee umesema ukweli. Muhimu ni kutafuta mwanaume mwenye kibamia lakini ana hela.Ni ngumu sana kumpata mwanaume ana vyote hivyo.
Jamani mbona mnakubalinthen mnakanusha? Sasa mbona sie tusio na hela mnatukwepa kama ukoma? Mpo tayari kuliwa mbususu na wenye vibamia wenye helaWe are kindred spirits!!!βΊοΈβΊοΈ
Jamani...basi saivi tutakua tunaulizana kwanza Niseme mimi, au useme wewe...? kabla yakuchangia mada za hivi!ππ
ππ Leo ni kwasababu tu I believe in love! And yes, sex and money can deepen love, but they are not the reasons to love!
Sikia Leejay49Shogaangu sijui nimepatwa na nini leoπ₯π₯ ,, ngoja nikague kwanza chupa nilizokunywa jana usiku kama zenyewe au nilichanganya madesa..
Anyways.. Yaani da Nifah angejua kama ni role model wangu wala asingejichosha kushusha haya magazeti yote..
Hata sielewi kilichomfanya apanic ni nini maana sikua na lengo la kumuattack, Niombee msamaha best yangu, nimekoma kuropoka ropoka...
Nifah Nifah Nifah nimekuita mara tatu kipenzi changu,, sijawahi kua serious am very Sorry ma big ciccy ππ
Hahaa mtoke mtuachie ulimwengu peke yetu.No women, no crying, kuna uhalisia kwenye hila ila tuishi nao kwa akili sana.
Ni tabu sana. Kwa sasa yoyote tu ilmradi awe anapumua.Bora wee umesema ukweli. Muhimu ni kutafuta mwanaume mwenye kibamia lakini ana hela.