Mwanamke ukimpata mpenzi anayekupa hela, anakuridhisha na kukutunza shikamana

Naona umepanic tu bure da niffa mpenzi wa mieπŸ˜ƒπŸ˜ƒ,,.. me sikua na lengo la kukuattack naona umenisoma vizuri ila nashangaa ulivyokua attacked 🀣🀣🀣

Pole mwaya ndo maisha hayo dadangu
 
Lakini Lizzy kwanini huwa unanisemea kila wakati? Imefikia stage sipendi 🀣🀣

We mtu gani kila siku mawazo yako yawe sawa na mimi? Kule kwingine ulisema sababu wewe ni Dr, haya leo hapa unasemaje?
 
Ndio jina langu jipya, sababu nimesema pesa na mlima kibo sio vipaumbele vyangu 🀣

Oke oke, malaika wa jf nimekupata 🀣

Lakini seriously sijui kwanini mtu anashindwa kuelewa tofauti kati ya vipaumbele na akiwa nacho ni better
Nani hapendi pesa?nani hapendi kufikishwa?

Mwanaume akiwa na pesa na anakufikisha ni jambo zuri sana lakini sio kwamba kama hana pesa ama hanifikishi ndio iwe kigezo cha mimi kumkataa...binafsi najua mahusiano ya kimapenzi yana mengi ya ku-offer zaidi ya hayo
 
THANKS!
 

Alie-hack hii ID nisimkamate!!
 
Imagine kumiliki miaka 53 miaka 36 iliyopita 😜
------------
Maisha ya sasa Mwanaume usipotulia ni vigumu sana kupata maendeleo.

Maana hakuna Mwanamke utaanzisha naye mahusiano usiache kumuhudumia,

Imagine una Mademu 3 Kwa pamoja. Utaweza kweli kujenga na kujiwekeza? Maana kipato chako chote kitakuwa kinaishia Kwao tu 😜

Pia kuna risk ya kupata maradhi

Hivyo Chukueni tahadhari
 
Alie-hack hii ID nisimkamate!!
Shogaangu sijui nimepatwa na nini leoπŸ˜₯πŸ˜₯ ,, ngoja nikague kwanza chupa nilizokunywa jana usiku kama zenyewe au nilichanganya madesa..

Anyways.. Yaani da Nifah angejua kama ni role model wangu wala asingejichosha kushusha haya magazeti yote..
Hata sielewi kilichomfanya apanic ni nini maana sikua na lengo la kumuattack, Niombee msamaha best yangu, nimekoma kuropoka ropoka...
Nifah Nifah Nifah nimekuita mara tatu kipenzi changu,, sijawahi kua serious am very Sorry ma big ciccy πŸ™πŸ™
 

Huyu ndio Leejay49 ninayemuonaga hapa JF
Hunaga baya...usiharibu sasa kwasababu ya personal attacks ambazo huenda kiuhalisia hujui wapi yalipoanzia na yalipoishia

Naamini uliyemuita mara tatu atakuwa amekuelewa
 
Lakini Lizzy kwanini huwa unanisemea kila wakati? Imefikia stage sipendi 🀣🀣

We mtu gani kila siku mawazo yako yawe sawa na mimi? Kule kwingine ulisema sababu wewe ni Dr, haya leo hapa unasemaje?
We are kindred spirits!!!☺️☺️

Jamani...basi saivi tutakua tunaulizana kwanza Niseme mimi, au useme wewe...? kabla yakuchangia mada za hivi!😊😁

😁😁 Leo ni kwasababu tu I believe in love! And yes, sex and money can deepen love, but they are not the reasons to love!
 
Jamani mbona mnakubalinthen mnakanusha? Sasa mbona sie tusio na hela mnatukwepa kama ukoma? Mpo tayari kuliwa mbususu na wenye vibamia wenye hela
 
Sikia Leejay49
Rudi nyuma, fuatilia posts zako wewe na Half american

Sio wewe uliyesema haya? Hapo ulikuwa unamuongelea nani?
 

Attachments

  • IMG_4929.jpeg
    408.8 KB · Views: 5
Huyu ndio Leejay49 ninayemuonaga hapa JF
Hunaga baya...usiharibu sasa kwasababu ya personal attacks ambazo huenda kiuhalisia hujui wapi yalipoanzia na yalipoishia

Naamini uliyemuita mara tatu atakuwa amekuelewa
AmenπŸ™πŸ™
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…