Mwanamke ukimpata mpenzi anayekupa hela, anakuridhisha na kukutunza shikamana

Uwe unakunywa folic acid inasaidia kupunguza kichefuchefu wakati wa ujauzito....utaacha kuropoka hovyo,soma mada elewa...
Wanawake wa kitanzania na weusi acheni ukahaba. Fanyeni kazi sio kusubiri kupewa pesa na wanaume.
 
Na uwaambie WASIKIE..!
 
Upo sahihi maana wanawake wa 2000 wamejipanga kuangusha maghorofa yote

Lazima mshikamane kikweli kweli.
 
Kila la kheri.
Zamani kidogo maono haya alikuwaga nayo TO yeye,sijui kawekewa oil chafu basi anatoa moshi hatari!
 
Hivi hakuna namna ya kuwa na sehemu maalum ya kuwapa tiba hawa mabinti waliopoteza hamu kutokana na matumizi ya madawa wanayopaka huko ikulu kwao km lile jengo walikopelekwa akina Rehema Chalamila,Chid Benz na wengineo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…