Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora vijana waoe kiganja cha mkono kuliko kukuoa weweHamna ukioa Mtu kama mimi ni Raha tu mbona,usitishe wenzio bhana😁
Sana wanguWe mkubwa mwenzangu umeelewa ninachomaanisha!kudos
Leejay49 mwoneshe rafiki yako wa damu hiiKwema?
Jamani, kina dada wenzangu kuna aina flani hivi wa viumbe vya kiume wamekuwa adimu sana, sasa ukimpata anayekufikisha kibo, halafu anakupa hela, yaani anakutunza aiseee huyo shikamana nae, weka ugolo machoni na pamba sikioni usione mwingine yeyote maana hiyo ni Total Package.
Kuna wale wanawasha moto kwelikweli ukitoka hapo mwili wa baridi ila mfukoni tee, halafu kuna wale wenzangu wanachop ila anakuacha na unawakwa moto. By the way kama unae mpenzi ana kimoja katika hivyo basi tuendelee kumuombea Mungu ampe kilichokosekana.
NB: Achana na ile misemo Mungu hakupi vyote huo ni uwooongoooo.
Sasa hapo ndio kwenye msingi wa andiko...ukute mteja ana jambo...ndio maana nasema ukipata Mtu kakufungilia genge na kibo mnafika Sasa ni kushikamana tu• Wanawake hawana formula,
• Mwanamke unaweza mfungulia biashara, alafu akaja kuolewa na mteja.