Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini isiwezekane?Hawezi kuwa na vyote vingine mtatumia vyako
Sawa bossKwanini isiwezekane?
Tatizo kubwa la vijana ni *lishe duni na *ubishoo.
Kama mtu ni bishoo hawezi kupata hela.
Na kama hana hela hawezi kula vizuri.
Na pia iwapo akili hana basi hajui ale nini ili amudu kufanya mapenzi kwa ufanisi.
Siyo viwili tu, ninavyo zaidi..... Hebu njoo pm, you never know huenda wewe ndo fungu langu nililopangiwa...Una vyote viwili nifungue fastaa😁?
Ninavyo vyote!Ukibahatika hivi shukuru Mungu
What are you offering? Unafikiria tu kupewa hiki na hiki We unatoa nini ili ustahili vyote unavyotaka?Kwema?
Jamani, kina dada wenzangu kuna aina flani hivi wa viumbe vya kiume wamekuwa adimu sana, sasa ukimpata anayekufikisha kibo, halafu anakupa hela, yaani anakutunza aiseee huyo shikamana nae, weka ugolo machoni na pamba sikioni usione mwingine yeyote maana hiyo ni Total Package.
Kuna wale wanawasha moto kwelikweli ukitoka hapo mwili wa baridi ila mfukoni tee, halafu kuna wale wenzangu wanachop ila anakuacha na unawakwa moto. By the way kama unae mpenzi ana kimoja katika hivyo basi tuendelee kumuombea Mungu ampe kilichokosekana.
NB: Achana na ile misemo Mungu hakupi vyote huo ni uwooongoooo.
Naam naaam antielPoor brain.
Umesahau kwamba mwanamke ni wakupewa?.Kwanini wapewe hela, wakati wote wanasikia raha?
Pole sana.... tuko good tunaenjoy kinafiki ila kiukweli sio type yangu ...
Naomba nisinukuliwe kwenye hili!😶🌫️Kama Dr kama Dr umelipitisha Hilo Mimi ni nani nipinge?
Ngoja nichekHazingatii Pesa pitia juu huko ameshajibu
Masha Allah!1. Heshima ~ Mwanaume ambaye sitosita kumtambulisha kokote. Hii ni deep, kuanzia yeye binafsi hadi kwangu.
2. Upendo~ Huu uwe ni pande zote, tupendane haswa, tuishi na kuzeeka tungali tunapendana.
3. Amani ~ Mimi ni muwazi, hivyo napenda mwanaume wangu awe ni kimbilio langu katika kila kitu. Baada ya yote, yeye awe tumaini langu.
Good news ni kwamba Mungu amenibariki kwa kaka mzuri tayari, Alhamdulillah.
Ila mkuu kuna uzi wako fulani hivi wa kimbeya, ulisema kigezo cha kwanza unachozingatia kwa mwanaume wa kuwa naye, ni lazima na yeye awe mbeya( yani mfanane tabia) 😅😅 au nakufananisha mkuu???1. Heshima ~ Mwanaume ambaye sitosita kumtambulisha kokote. Hii ni deep, kuanzia yeye binafsi hadi kwangu.
2. Upendo~ Huu uwe ni pande zote, tupendane haswa, tuishi na kuzeeka tungali tunapendana.
3. Amani ~ Mimi ni muwazi, hivyo napenda mwanaume wangu awe ni kimbilio langu katika kila kitu. Baada ya yote, yeye awe tumaini langu.
Good news ni kwamba Mungu amenibariki kwa kaka mzuri tayari, Alhamdulillah.