bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Mapenzi bila pesa haiwezekani.Tema mate chini, pesa za nini kama kazi yako ni kuiwekea papa mkono!
Kwani KAZI ya ulimi uijui
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mapenzi bila pesa haiwezekani.Tema mate chini, pesa za nini kama kazi yako ni kuiwekea papa mkono!
😅😅😅😅😂😂😂 𝗱𝗮𝗮𝗵 𝗮𝗶𝘀𝗲𝗲View attachment 2910522Yani tunaongea hapa nimekutana nayo WhatsApp status nimechekaaaa
Dr Lizzy CriSanToS
Tupendeni jinsi tulivyo tuwape raha duniani; kutoa hela ni sawa na kununua hudumaTia neno mkuu...
Mnatakiwa mshauriane namna ya kupata pesa mkiwa kwenye uhusiano wenu; na si kuwa golikipa wa kupokea fedhaVyote viende sambamba mkuu...
Pata dompo mbili kwa gharama ya mfuko wako 😀Sawa tumekuelewa Mzee..
Nifah wewe ni Allien...au unaandika hivi Kwa vile kaka mzuri anasomaaaa🙄🙄🙄🙄🙄sema kweli hupendi Hela na kufika kibo?1. Heshima ~ Mwanaume ambaye sitosita kumtambulisha kokote. Hii ni deep, kuanzia yeye binafsi hadi kwangu.
2. Upendo~ Huu uwe ni pande zote, tupendane haswa, tuishi na kuzeeka tungali tunapendana.
3. Amani ~ Mimi ni muwazi, hivyo napenda mwanaume wangu awe ni kimbilio langu katika kila kitu. Baada ya yote, yeye awe tumaini langu.
Good news ni kwamba Mungu amenibariki kwa kaka mzuri tayari, Alhamdulillah.
Unapiga hivyo hivyoDompo hazina glass bwana,Bora nichukue grants yenye ki glass