Mwanamke ukimpata mpenzi anayekupa hela, anakuridhisha na kukutunza shikamana

Mwanamke ukimpata mpenzi anayekupa hela, anakuridhisha na kukutunza shikamana

Ila mkuu kuna uzi wako fulani hivi wa kimbeya, ulisema kigezo cha kwanza unachozingatia kwa mwanaume wa kuwa naye, ni lazima na yeye awe mbeya( yani mfanane tabia) ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… au nakufananisha mkuu???
Huwezi kuwa serious Mkuu. Yani mwanaume wa kuwa mume kigezo cha kwanza kiwe umbea? Lols

Hiyo ni nyongeza, na inapendeza maana sitaboreka tutaongea mengi na kufurahi.
 
Mfano sasa hivi mda huu nipo kwenye mgahawa zimeingia pisi mbili kali,zimetangulizwa then vibabu vyao vimewafuata kwa nyuma. Mmmoja sijui hana experience ila anavyo ongea na kibabu chake anaona aibu na hayupo comfortable kabisa.

Kusema ukweli wanaume ambao mnawataka nyinyi wa kuwapa hela kwa ajili ya vitu luxury ni vibabu na wanaume za watu. Ila vijana ambao ni age yenu uwezo wao ni kuwapa mahitaji ya MSINGI.Swala lenu mkubali kuwa nyumba ndogo au single mother. Yaani siku hizi mnataka kijana anaye jitafuta ahandle vikoba,mikopo,michezo majina matatu na mahitaji mengine ni uongo.

Tatizo siku hizi hamjui kutofaitisha lipi hitaji la msingi lipi ni luxury na wengine hata zile feelings za mapenzi mshapoteza, mnafikiria hela sometimes mkikutana na wahuni wana watumia vibaya kingono na nyinyi mnaona sawa.

Yaani na watizama hawa mabinti hapa hata ile chemistry huioni bali tu wanatizama pochi basi.
Acha mkuu, wakifika 30 wanapagawa.
 
Huwezi kuwa serious Mkuu. Yani mwanaume wa kuwa mume kigezo cha kwanza kiwe umbea? Lols

Hiyo ni nyongeza, na inapendeza maana sitaboreka tutaongea mengi na kufurahi.
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… ๐—ฒ๐˜„๐—ฎ๐—ฎ๐—ฎ๐—ต ๐—ธ๐˜‚๐—บ๐—ฏ๐—ฒ ๐˜€๐—ถ๐—ท๐—ฎ๐—ธ๐˜‚๐—ณ๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐—ป๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ, ๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐—ฝ๐—ฒ๐—ป๐—ฑ๐—ฒ๐˜‡๐—ฎ ๐—น๐—ฎ๐—ธ๐—ถ๐—ป๐—ถ ๐˜‚๐—บ๐—ฏ๐—ฒ๐˜†๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—บ๐˜„๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐˜‚๐—บ๐—ฒ ๐—ต๐—ถ๐—ถ ๐—ถ๐—บ๐—ฒ๐—ธ๐—ฎ๐—ฎ๐—ท๐—ฒ ๐—บ๐—ธ๐˜‚๐˜‚???

๐—”๐˜‚ ๐—ธ๐˜‚๐—ป๐—ฎ ๐˜‚๐—บ๐—ฏ๐—ฒ๐˜†๐—ฎ ๐˜‚๐—น๐—ถ๐—ผ๐˜‚๐—บ๐—ฎ๐—ฎ๐—ป๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐—บ๐—ธ๐˜‚๐˜‚ ๐˜๐—ผ๐—ณ๐—ฎ๐˜‚๐˜๐—ถ ๐—ป๐—ฎ ๐—ต๐˜‚๐˜‚ ๐—ป๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐—ผ๐˜‚๐—ท๐˜‚๐—ฎ ๐—บ๐—ถ๐—บ๐—ถ, ๐—ฎ๐˜‚ ๐—ต๐˜‚๐˜‚ ๐—ป๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐—ผ๐—ธ๐˜‚๐˜๐—ฎ๐—ป๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ๐—ผ ๐—ต๐˜‚๐—ธ๐—ผ ๐—ถ๐—ป๐˜€๐˜๐—ฎ๐—ด๐—ฟ๐—ฎ๐—บ????
 
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… ๐—ฒ๐˜„๐—ฎ๐—ฎ๐—ฎ๐—ต ๐—ธ๐˜‚๐—บ๐—ฏ๐—ฒ ๐˜€๐—ถ๐—ท๐—ฎ๐—ธ๐˜‚๐—ณ๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐—ป๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ, ๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐—ฝ๐—ฒ๐—ป๐—ฑ๐—ฒ๐˜‡๐—ฎ ๐—น๐—ฎ๐—ธ๐—ถ๐—ป๐—ถ ๐˜‚๐—บ๐—ฏ๐—ฒ๐˜†๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—บ๐˜„๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐˜‚๐—บ๐—ฒ ๐—ต๐—ถ๐—ถ ๐—ถ๐—บ๐—ฒ๐—ธ๐—ฎ๐—ฎ๐—ท๐—ฒ ๐—บ๐—ธ๐˜‚๐˜‚???

๐—”๐˜‚ ๐—ธ๐˜‚๐—ป๐—ฎ ๐˜‚๐—บ๐—ฏ๐—ฒ๐˜†๐—ฎ ๐˜‚๐—น๐—ถ๐—ผ๐˜‚๐—บ๐—ฎ๐—ฎ๐—ป๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐—บ๐—ธ๐˜‚๐˜‚ ๐˜๐—ผ๐—ณ๐—ฎ๐˜‚๐˜๐—ถ ๐—ป๐—ฎ ๐—ต๐˜‚๐˜‚ ๐—ป๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐—ผ๐˜‚๐—ท๐˜‚๐—ฎ ๐—บ๐—ถ๐—บ๐—ถ, ๐—ฎ๐˜‚ ๐—ต๐˜‚๐˜‚ ๐—ป๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐—ผ๐—ธ๐˜‚๐˜๐—ฎ๐—ป๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ๐—ผ ๐—ต๐˜‚๐—ธ๐—ผ ๐—ถ๐—ป๐˜€๐˜๐—ฎ๐—ด๐—ฟ๐—ฎ๐—บ????
Sikia, umbea ninaoongelea mimi ni kujua habari za mjini. Sio umbea wa uswahilini kufuatilia maisha ya watu na kusutana hapana, mimi tu sipo hivyo na siku majirani zangu wakijua mimi ndio cha umbea wa JF watazimia!

Sasa mimi namshukuru Mungu wa kwangu anazo habari za mjini za uhakika yani, ni burudani acha tu.
Ikifikaga hiyo moment ya kupewa hizo habari huwa najihisi niko mawinguni ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
 
Sikia, umbea ninaoongelea mimi ni kujua habari za mjini. Sio umbea wa uswahilini kufuatilia maisha ya watu na kusutana hapana, mimi tu sipo hivyo na siku majirani zangu wakijua mimi ndio cha umbea wa JF watazimia!

Sasa mimi namshukuru Mungu wa kwangu anazo habari za mjini za uhakika yani, ni burudani acha tu.
Ikifikaga hiyo moment ya kupewa hizo habari huwa najihisi niko mawinguni ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜„ ๐—ฒ๐˜„๐—ฎ๐—ฎ๐—ฎ๐—ต, ๐—น๐—ฎ๐—ธ๐—ถ๐—ป๐—ถ ๐—บ๐—ธ๐˜‚๐˜‚ ๐˜€๐—ฎ๐—ต๐—ถ๐˜ƒ๐—ถ ๐˜‚๐—บ๐—ฒ๐—ฎ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ ๐˜๐—ฒ๐—ป๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜๐˜‚๐—ฝ๐—ฎ ๐—ต๐—ฎ๐—ฏ๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ ๐˜‡๐—ฎ ๐—บ๐—ท๐—ถ๐—ป๐—ถ.
 
๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜„ ๐—ฒ๐˜„๐—ฎ๐—ฎ๐—ฎ๐—ต, ๐—น๐—ฎ๐—ธ๐—ถ๐—ป๐—ถ ๐—บ๐—ธ๐˜‚๐˜‚ ๐˜€๐—ฎ๐—ต๐—ถ๐˜ƒ๐—ถ ๐˜‚๐—บ๐—ฒ๐—ฎ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ ๐˜๐—ฒ๐—ป๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜๐˜‚๐—ฝ๐—ฎ ๐—ต๐—ฎ๐—ฏ๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ ๐˜‡๐—ฎ ๐—บ๐—ท๐—ถ๐—ป๐—ถ.
Nina mambo mengi sijapata nafasi, usifanye mchezo kuandika vile sio rahisi.
 
Sikia, umbea ninaoongelea mimi ni kujua habari za mjini. Sio umbea wa uswahilini kufuatilia maisha ya watu na kusutana hapana, mimi tu sipo hivyo na siku majirani zangu wakijua mimi ndio cha umbea wa JF watazimia!

Sasa mimi namshukuru Mungu wa kwangu anazo habari za mjini za uhakika yani, ni burudani acha tu.
Ikifikaga hiyo moment ya kupewa hizo habari huwa najihisi niko mawinguni ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
Kuna namna gossip na mshkaji โ€Šwako zinanoga.
 
Nina mambo mengi sijapata nafasi, usifanye mchezo kuandika vile sio rahisi.
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… ๐˜€๐—ถ๐—ท๐˜‚๐—ถ ๐—ต๐—ฎ๐˜๐—ฎ ๐—ป๐—ถ๐—บ๐—ฒ๐˜„๐—ฎ๐˜‡๐—ฎ ๐—ป๐—ถ๐—ป๐—ถ ๐—น๐—ฎ๐—ธ๐—ถ๐—ป๐—ถ ๐˜‚๐—บ๐—ฒ๐—ป๐—ถ๐—ฐ๐—ต๐—ฒ๐—ธ๐—ฒ๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜„
 
Kuipata hiyo complete package sasa ndio mtihani. Me mwenye mtonyo hana mda na K, anawaza kuzitafuta mchana na usiku.

Duniani hupewi vyote.
 
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… ๐˜€๐—ถ๐—ท๐˜‚๐—ถ ๐—ต๐—ฎ๐˜๐—ฎ ๐—ป๐—ถ๐—บ๐—ฒ๐˜„๐—ฎ๐˜‡๐—ฎ ๐—ป๐—ถ๐—ป๐—ถ ๐—น๐—ฎ๐—ธ๐—ถ๐—ป๐—ถ ๐˜‚๐—บ๐—ฒ๐—ป๐—ถ๐—ฐ๐—ต๐—ฒ๐—ธ๐—ฒ๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜„
Ngoja nikwambie, huwa naletewa habari. Inabidi nifanye research ya wahusika wote, niwajue kiundani na facts za habari zioane.

Kuna habari nyingi sana huwa siziandiki kwa kuzingatia vigezo tajwa, nikifanya research ikashindwa kunivutia au nikaona italeta mkanganyiko naachana nayo.

Mwisho kwenye uandishi, huwa natumia sio chini ya lisaa limoja na nusu hadi mawili na nusu kuandika inategemea na habari. Kupata mtiririko wa kuvutia sio rahisi. Mkisoma muwe na shukrani, ile ni kazi.
 
Ngoja nikwambie, huwa naletewa habari. Inabidi nifanye research ya wahusika wote, niwajue kiundani na facts za habari zioane.

Kuna habari nyingi sana huwa siziandiki kwa kuzingatia vigezo tajwa, nikifanya research ikashindwa kunivutia au nikaona italeta mkanganyiko naachana nayo.

Mwisho kwenye uandishi, huwa natumia sio chini ya lisaa limoja na nusu hadi mawili na nusu kuandika inategemea na habari. Kupata mtiririko wa kuvutia sio rahisi. Mkisoma muwe na shukrani, ile ni kazi.
๐—ฆ๐—ต๐˜‚๐—ธ๐—ฟ๐—ฎ๐—ป๐—ถ ๐—ถ๐—ป ๐—ฎ๐—ฑ๐˜ƒ๐—ฎ๐—ป๐—ฐ๐—ฒ ๐—บ๐—ธ๐˜‚๐˜‚,, ๐—ต๐—ฎ๐—ธ๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐—ต๐˜‚๐˜„๐—ฎ ๐˜๐˜‚๐—ป๐—ฎ๐—ฏ๐˜‚๐—ฟ๐˜‚๐—ฑ๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐˜€๐—ฎ๐—ป๐—ฎ ๐Ÿฅฐ,, ๐—ธ๐—ผ๐—ป๐—ด๐—ผ๐—น๐—ฒ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—ต๐—ถ๐—น๐—ผ.
 
IMG_4928.jpeg
Yani tunaongea hapa nimekutana nayo WhatsApp status nimechekaaaa
Dr Lizzy CriSanToS
 
Back
Top Bottom