Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
Huwezi kuwa serious Mkuu. Yani mwanaume wa kuwa mume kigezo cha kwanza kiwe umbea? LolsIla mkuu kuna uzi wako fulani hivi wa kimbeya, ulisema kigezo cha kwanza unachozingatia kwa mwanaume wa kuwa naye, ni lazima na yeye awe mbeya( yani mfanane tabia) ๐ ๐ au nakufananisha mkuu???
Hiyo ni nyongeza, na inapendeza maana sitaboreka tutaongea mengi na kufurahi.