Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂 naam naam hii ni kawaida kabisa• Wanawake hawana formula,
• Mwanamke unaweza mfungulia biashara, alafu akaja kuolewa na mteja.
Acha tu ibaki kuwa hivyo, ujanja wake wote chaliYani pale unamfikisha dem kileleni analia kwa uchungu mtamu kwa sauti kubwa huku akitupa mikono hovyohovyo ukimuangalia kwa mshangao yani hapo ukamilifu wa uumbaji wa Mungu unajidhihirisha waziwazi bila pasi na shaka.
Acheni sirgodi aitwe sirgodi.
A masterpiece from the master Himself!
Nikiwa mkubwa nataka nipate mwanamke wa kufanana na wewe Nifah. Kama uyasemayo ndio unayaishi nje ya jf upo vizuri hongera.1. Heshima ~ Mwanaume ambaye sitosita kumtambulisha kokote. Hii ni deep, kuanzia yeye binafsi hadi kwangu.
2. Upendo~ Huu uwe ni pande zote, tupendane haswa, tuishi na kuzeeka tungali tunapendana.
3. Amani ~ Mimi ni muwazi, hivyo napenda mwanaume wangu awe ni kimbilio langu katika kila kitu. Baada ya yote, yeye awe tumaini langu.
Good news ni kwamba Mungu amenibariki kwa kaka mzuri tayari, Alhamdulillah.
Mbona kicheko 😅😂😂😂😂
kumbe jimbo liko wazi na husemi😂Hamna ukioa Mtu kama mimi ni Raha tu mbona,usitishe wenzio bhana😁
We jichanganye😃😂, wamebaki wa kwenye maandishi kama hivi ila kwa ground mambo ni tofautiMbona kicheko 😅
Usmtishe bana bado tupo wengiWe jichanganye😃😂, wamebaki wa kwenye maandishi kama hivi ila kwa ground mambo ni tofauti
Hahahhah😂😂,, hakuna cha lolote bora nimwambie ukweli asijeuziwa mbuzi kwenye guniaUsmtishe bana bado tupo wengi
We unamtaka yupi kati ya hao aliosema au alimradi anaepumua tu?Hahahhah😂😂,, hakuna cha lolote bora nimwambie ukweli asijeuziwa mbuzi kwenye gunia
Aisee me nataka anaejua kupeleka moto iie kiukweli ukweli,, hela me mwenyewe mtafutaji mzuri sana.. Na akiw na vyote pia sawaWe unamtaka yupi kati ya hao aliosema au alimradi anaepumua tu?
unamtaka mchochezi tu mengine utajiongeza mwenyewe. Hii imekaa njema sana na umekuwa realistic haswaa. Kiufupi huyo mwenye vyote hutainjoy sababu mtakuwa kwenye mgao😂Aisee me nataka anaejua kupeleka moto iie kiukweli ukweli,, hela me mwenyewe mtafutaji mzuri sana.. Na akiw na vyote pia sawa
😂 wapo ila simaanishi wasiopenda pesa, kwangu mwanamke bora ni muhimu awe na angalau 75% ya sifa alizozitaja NifahWe jichanganye😃😂, wamebaki wa kwenye maandishi kama hivi ila kwa ground mambo ni tofauti
Wengi mnasema hivyo ila baadae mnabadilikaAisee me nataka anaejua kupeleka moto iie kiukweli ukweli,, hela me mwenyewe mtafutaji mzuri sana.. Na akiw na vyote pia sawa
😂 labda sio mimiHahahhah😂😂,, hakuna cha lolote bora nimwambie ukweli asijeuziwa mbuzi kwenye gunia