Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utoke humu kwanza ukafue😃,.😉nitulize
kama n nguo zishafuliwa 😅Utoke humu kwanza ukafue😃,.
Naaam hapa nimekomboka, nipo salama.Ole wake nimbambe anatia hata mdalasini kwenye chai,atajua hajui...
Tutaishi nanyi kwa akili, napenda mtu anaenipa changamoto sio mwanamke kapoa kama uji wa msibani. Asiniroge tuHao wanawapanga tu,,wote ndio sie sie
Sijui ila kumbuka wewe ni binadam na sio malaika kama Nifah 😂Hizo nyingine huwa napataga C- mara nyingi...A+ huwa napata kwa machale sana.
Bado najaribu kulewa kama shida iko kwangu au vipi.😏
Haya we endelea kubakikama n nguo zishafuliwa 😅
Labda nikafue pesa.
Sahihi MjukuuUshauri mzuri sana babu, huwa napenda kujifunza kwa wakubwa zangu.
Ni wazi ukiendekeza mapenzi/wanawake huwezi kuendelea.
Mapenzi yanagharimu kila kitu afya, uchumi na muda. Na vyote hivi ni muhimu sana katika maendeleo binafsi.
Nayapenda sana mapenzi ila kuna muda nayaogopa sana.
Kubaki wapiHaya we endelea kubaki
Wanawake wa hivyo wapo sana, ni kuishi nao kwa akili tu na kuhakikisha unakuwa na mtu anaekuelewa na hali yako halisi ya kimaisha.Sahihi Mjukuu
Dunia mnayoishi ninyi Vijana na ile Dunia yetu Wazee ni tofauti hasa linapokuja suala la mahusiano na Afya.
Kuna Mjukuu wangu alinisimulia wiki kadhaa zilizopita eti Mpenzi wake alimwomba hela ya nywele sijui ni Peruvian ama Brazilian hair shilingi 1,500,000
Kama utaingia bahati mbaya kwenye mahusiano na Binti wa hivyo, mnadhani mtafanya maendeleo nyie?
Hakikisha unaingia kwenye mahusiano na binti anayejielewa, binti ambaye atakushauri namna sahihi ya kuwekeza na Kukua Kiuchumi.
Sio binti ambaye Kila Siku anawaza kutumia na sio kuingiza
Kumbukeni Kuna Uzee na ajali ambavyo vinaweza kukufanya Mwanaume ulale kitandani miezi kadhaa ukijiuguza huku hakuna hata shilingi 50 inaingia kwenye akaunti yako
Ulishawahi kumuona Marehemu Mama yake Peter Msechu na zile nywele zake za Twende Kilioni 😅Wanawake wa hivyo wapo sana, ni kuishi nao kwa akili tu na kuhakikisha unakuwa na mtu anaekuelewa na hali yako halisi ya kimaisha.
Heri miaka yenu mambo yalikuwa mepesi kwa kiasi fulani, sasa hivi mambo n mengi alafu magumu ila hakuna namna wa kuyaishi ni sisi na lazima tuyaishi.
Alie-hack hii ID nisimkamate!!