Mwanamke ukimwambia ni mzuri na ukampa furaha anakuwa Mzuri

Wowote ule but ana ushawishi mkubwa
Sasa acha nikushauri.

ushawishi ndio mnao lakini Akili sasa changanya na biashara

Kwanza Acheni Tamaa, acha tamaa usitake kumfilisi mtu. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜ƒ

Tengeneza figa ya kimodell, usile sana hasa mafuta mafuta.
Jua kuzungusha uno.

Alafu unasema wife mwenye mauno, au mauno ya wife, au ukiwa na wife ni baraka.
 
" Tengeneza figa ya kimodo, usile sana hasa mafuta mafuta , jua kuzungusha uno"

Hapa umenipiga palee palee kwenye mshono πŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“Œ 🀠🀠🀠!!

Wanawake wengine Miili inakuja yenyewe hasa tukishazaa! Tunafutuka balaa afu utadhani unachokula chote kinaenda kuganda kwenye belly na hakitoki 😁😊😊😊!!
 
Mwanzoni ulikuja na gia ya kuwapondea Wanawake, ulivyoona Idd Makengo na Chris Mauki wanajipakulia tu minyama umebadili gia angani, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]

Kila la kheir utawaokota sana tu.
Iddi Makengo yule jamaa ni mshauri wenu mzuri sana hasa kwa wanawake vichwa maji.

Huyu mtibeti tatizo lake anaenda na upepo, hana msimamo.
 
Sema leo tupo kwa wanaume kusifia wake / partner zenu mkuu ngoja tumalizane nahili kwanza! Ila ushauri nimeuchukua πŸ‘
 
Duuh! Mbona uzi mrefu kama unaandika insha kwa ufupi hawa viumbe sijawahi kuwaelewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…