Super women 2
JF-Expert Member
- Nov 16, 2016
- 5,164
- 6,540
Aaah.kunawanawake wengine utaona yeye ndo ana chumba lakini haishi kuleta wanaume humo chumbani kwake, mimi naona sio picha nzuri. Mimi binafsi sipendelei kwa mfano, nina mpenzi wangu alafu aje kwangu alafu tusex.huwa sipendi kabisa. Atakuja kwangu tutapiga story nk. Lakini kama ni sex. Tutafanyia kwingine. Hatakama unanilipia kila kitu. Tutafanyia kwako tu
Itabidi tuKodi nikulipie mimi alafu tena sex nikahangaike na gest. Hapana nitarudi
Nakuunga mkono!.kunawanawake wengine utaona yeye ndo ana chumba lakini haishi kuleta wanaume humo chumbani kwake, mimi naona sio picha nzuri. Mimi binafsi sipendelei kwa mfano, nina mpenzi wangu alafu aje kwangu alafu tusex.huwa sipendi kabisa. Atakuja kwangu tutapiga story nk. Lakini kama ni sex. Tutafanyia kwingine. Hatakama unanilipia kila kitu. Tutafanyia kwako tu
UpoAaah
Mimi huo ni msimamo wangu kabisa. Hutaki basi,Nakuunga mkono!
SawaHoja yako aina mashiko mm ukiniita ntafanya tu na we by any way
Sio kuwaokotaUnawaokota wapi hao walipe kodi na sex uwapangie pakufanya du asee huwa mnawaokota wapi
Ndo nzuriHiyo ni mechi ya ugenini eeeh!
Nisaidie basiLipia matangazo
Tuambie haupo serious..kunawanawake wengine utaona yeye ndo ana chumba lakini haishi kuleta wanaume humo chumbani kwake, mimi naona sio picha nzuri. Mimi binafsi sipendelei kwa mfano, nina mpenzi wangu alafu aje kwangu alafu tusex.huwa sipendi kabisa. Atakuja kwangu tutapiga story nk. Lakini kama ni sex. Tutafanyia kwingine. Hatakama unanilipia kila kitu. Tutafanyia kwako tu
Kwanini nisiwe serious??Tuambie haupo serious.