Super women 2
JF-Expert Member
- Nov 16, 2016
- 5,164
- 6,540
- Thread starter
- #41
Kila mtu na maamuzi yake. Wewe mkule tu popoteeWe naona unataka kumsanua huyu wangu alete mgomo nicmnaniliu humu ndani mwake,ushindweeee kabisaaaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila mtu na maamuzi yake. Wewe mkule tu popoteeWe naona unataka kumsanua huyu wangu alete mgomo nicmnaniliu humu ndani mwake,ushindweeee kabisaaaaaa
Kodi unalipa na hurudishiwi [emoji23][emoji23][emoji23]Nitakuelewa tu endapo unaishi na watu wengine na nyumba ni ndogo hakuna nafasi ya kujiachia. Tofauti na hivyo rudisha kodi zangu
Sio nyodoDuh.....kumbe kuna wanawake wana nyodo namna hii!?
Unamvua chupi kinguvu na makofi juuu anakulaHoja yako aina mashiko mm ukiniita ntafanya tu na we by any way
Hujapandwa na midadi.Mimi huo ni msimamo wangu kabisa. Hutaki basi,
Kweli kabisa ni aibu hasa kwa watoto na majilani wenzako. Unakwichi kwichi then mwanaume anakatiza na taulo au kanga yako anaenda kuoga nia aibu na fedhea Swala ili ata mimi siungi mkono oja.kunawanawake wengine utaona yeye ndo ana chumba lakini haishi kuleta wanaume humo chumbani kwake, mimi naona sio picha nzuri. Mimi binafsi sipendelei kwa mfano, nina mpenzi wangu alafu aje kwangu alafu tusex.huwa sipendi kabisa. Atakuja kwangu tutapiga story nk. Lakini kama ni sex. Tutafanyia kwingine. Hatakama unanilipia kila kitu. Tutafanyia kwako tu
Sasa huo. Utakuwa ubakaji sasaUnamvua chupi kinguvu na makofi juuu anakula
[emoji23][emoji23][emoji23]Hujapandwa na midadi.
KweliKweli kabisa ni aibu hasa kwa watoto na majilani wenzako. Unakwichi kwichi then mwanaume anakatiza na taulo au kanga yako anaenda kuoga nia aibu na fedhea Swala ili ata mimi siungi mkono oja
Kama hujui basi muache tu ale mzigo sababu kama unataka kutunza heshima yako mbele za watu usingekubali hata kujifungia nae humo ndani eti mnapiga story, nani ataamini kama hujagegendwa humo ndani.Hata sijui
nimekufata PM, kasome nilichoandikaPm???. Naomba kwanza nifundishe jinsi ya kufunga pm yangu. Ungejua hizo pm sizipendi
Kodi unalipa na hurudishiwi [emoji23][emoji23][emoji23]
Ni nyodo 100 per cent. Nilipe kodi na.mahitaji mengine halafu uanze kunipangi pa kukutxmbxa? acha matani bana😀😀😀Sio nyodo
Hapa umenena ukweli kbsa, asije kukudanganya mtu cku zote match ya ugenini kila mtu hukaza kuliko ili mradi apate matokeo mazuri.Sasa kibaya nini hapo kama ni mpenzi wako?
Kama ni mtu wa kutulia kwenye uhusiano mmoja sioni mbaya kabisa kusex kwangu! Sipendi mambo ya gesti na kufanyia kwake kila siku kutaniboa... Na sometimes nipo huru zaidi nikiwa kwangu!
una akili...Sasa kibaya nini hapo kama ni mpenzi wako?
Kama ni mtu wa kutulia kwenye uhusiano mmoja sioni mbaya kabisa kusex kwangu! Sipendi mambo ya gesti na kufanyia kwake kila siku kutaniboa... Na sometimes nipo huru zaidi nikiwa kwangu!