Mwanamke, unaweza mwambia mwanaume aje kwako na mkafanya sex?

Mwanamke, unaweza mwambia mwanaume aje kwako na mkafanya sex?

.kunawanawake wengine utaona yeye ndo ana chumba lakini haishi kuleta wanaume humo chumbani kwake, mimi naona sio picha nzuri. Mimi binafsi sipendelei kwa mfano, nina mpenzi wangu alafu aje kwangu alafu tusex.huwa sipendi kabisa. Atakuja kwangu tutapiga story nk. Lakini kama ni sex. Tutafanyia kwingine. Hatakama unanilipia kila kitu. Tutafanyia kwako tu
Halafu kwa uzoefu wangu ku sex chumbani/nyumbani kwa mwanamke inanoga zaid kuliko sehemu yoyote ile.
 
.kunawanawake wengine utaona yeye ndo ana chumba lakini haishi kuleta wanaume humo chumbani kwake, mimi naona sio picha nzuri. Mimi binafsi sipendelei kwa mfano, nina mpenzi wangu alafu aje kwangu alafu tusex.huwa sipendi kabisa. Atakuja kwangu tutapiga story nk. Lakini kama ni sex. Tutafanyia kwingine. Hatakama unanilipia kila kitu. Tutafanyia kwako tu
Kama anakulipia kila kitu kwa nini unaita hapo ni kwako na sio kwake?

Anakulipia kila kitu alafu unampangia pa kuku dudulia?
 
.kunawanawake wengine utaona yeye ndo ana chumba lakini haishi kuleta wanaume humo chumbani kwake, mimi naona sio picha nzuri. Mimi binafsi sipendelei kwa mfano, nina mpenzi wangu alafu aje kwangu alafu tusex.huwa sipendi kabisa. Atakuja kwangu tutapiga story nk. Lakini kama ni sex. Tutafanyia kwingine. Hatakama unanilipia kila kitu. Tutafanyia kwako tu

Ni sawa, but what difference does it make kama ni huyo huyo? Hivi mkijifungia ndani mnapiga story for 4 hours, wafikiri sisi tulio nje tunajua mnapiga story? unajifurahisha tu ndugu, weka msimamo asije kabisa na msisex ndo nitakuelewa.... nyingine zote ni kuvaa mask tu.
 
Hoja yako aina mashiko mm ukiniita ntafanya tu na we by any way

.kunawanawake wengine utaona yeye ndo ana chumba lakini haishi kuleta wanaume humo chumbani kwake, mimi naona sio picha nzuri. Mimi binafsi sipendelei kwa mfano, nina mpenzi wangu alafu aje kwangu alafu tusex.huwa sipendi kabisa. Atakuja kwangu tutapiga story nk. Lakini kama ni sex. Tutafanyia kwingine. Hatakama unanilipia kila kitu. Tutafanyia kwako tu
Kama hutaki kufanya sex kwako tutahamia choo cha nje
 
.kunawanawake wengine utaona yeye ndo ana chumba lakini haishi kuleta wanaume humo chumbani kwake, mimi naona sio picha nzuri. Mimi binafsi sipendelei kwa mfano, nina mpenzi wangu alafu aje kwangu alafu tusex.huwa sipendi kabisa. Atakuja kwangu tutapiga story nk. Lakini kama ni sex. Tutafanyia kwingine. Hatakama unanilipia kila kitu. Tutafanyia kwako tu
We naona unataka kumsanua huyu wangu alete mgomo nicmnaniliu humu ndani mwake,ushindweeee kabisaaaaaa
 
Ni sawa, but what difference does it make kama ni huyo huyo? Hivi mkijifungia ndani mnapiga story for 4 hours, wafikiri sisi tulio nje tunajua mnapiga story? unajifurahisha tu ndugu, weka msimamo asije kabisa na msisex ndo nitakuelewa.... nyingine zote ni kuvaa mask tu.
Ni kweli lakini mimi siangalii majirani wanasema nini
 
Back
Top Bottom