Mwanamke, unaweza mwambia mwanaume aje kwako na mkafanya sex?

Mwanamke, unaweza mwambia mwanaume aje kwako na mkafanya sex?

Nitakuelewa tu endapo unaishi na watu wengine na nyumba ni ndogo hakuna nafasi ya kujiachia. Tofauti na hivyo rudisha kodi zangu
Kodi unalipa na hurudishiwi [emoji23][emoji23][emoji23]
 
.kunawanawake wengine utaona yeye ndo ana chumba lakini haishi kuleta wanaume humo chumbani kwake, mimi naona sio picha nzuri. Mimi binafsi sipendelei kwa mfano, nina mpenzi wangu alafu aje kwangu alafu tusex.huwa sipendi kabisa. Atakuja kwangu tutapiga story nk. Lakini kama ni sex. Tutafanyia kwingine. Hatakama unanilipia kila kitu. Tutafanyia kwako tu
Kweli kabisa ni aibu hasa kwa watoto na majilani wenzako. Unakwichi kwichi then mwanaume anakatiza na taulo au kanga yako anaenda kuoga nia aibu na fedhea Swala ili ata mimi siungi mkono oja
 
Kweli kabisa ni aibu hasa kwa watoto na majilani wenzako. Unakwichi kwichi then mwanaume anakatiza na taulo au kanga yako anaenda kuoga nia aibu na fedhea Swala ili ata mimi siungi mkono oja
Kweli
 
Sasa kibaya nini hapo kama ni mpenzi wako?
Kama ni mtu wa kutulia kwenye uhusiano mmoja sioni mbaya kabisa kusex kwangu! Sipendi mambo ya gesti na kufanyia kwake kila siku kutaniboa... Na sometimes nipo huru zaidi nikiwa kwangu!
 
Achana na masiala ya nyege. Nyege zikipanda unafanya mapenzi hata vichakani.
Masister duu wengi wa vyuoni wana maisha ya maigizo sana, Mara Hoo siwezi kufanya mapenzi kalibia na nyumbani. Lakini vyuoni mmoja yupo double deka mwingine yupo chini wanapandana mwanzo mwisho.
Uku mavyuoni mapenzi mubashara na mvua izi full kupandana
 
Sasa kibaya nini hapo kama ni mpenzi wako?
Kama ni mtu wa kutulia kwenye uhusiano mmoja sioni mbaya kabisa kusex kwangu! Sipendi mambo ya gesti na kufanyia kwake kila siku kutaniboa... Na sometimes nipo huru zaidi nikiwa kwangu!
Hapa umenena ukweli kbsa, asije kukudanganya mtu cku zote match ya ugenini kila mtu hukaza kuliko ili mradi apate matokeo mazuri.
 
Sasa kibaya nini hapo kama ni mpenzi wako?
Kama ni mtu wa kutulia kwenye uhusiano mmoja sioni mbaya kabisa kusex kwangu! Sipendi mambo ya gesti na kufanyia kwake kila siku kutaniboa... Na sometimes nipo huru zaidi nikiwa kwangu!
una akili...
ww ni kabila gan kabla sijakufata PM
 
Back
Top Bottom