Mwanamke, unaweza mwambia mwanaume aje kwako na mkafanya sex?

Mwanamke, unaweza mwambia mwanaume aje kwako na mkafanya sex?

Dada hebu kuwa serious kidogo. Kodi nikulipie na hutaki nikufanye humo humo kwako unaficha nini? Ukome we....mi utanilipa pesa zangu na siku hiyo hiyo biashara yetu inaisha. Usilete mambo ya ajabu hapa.

Kama unajilipia mwenyewe naweza kukusikiliza. I don't bargain, I negotiate.
 
Sikuiz si kila super women ni mwanamke unawezaje ukawa strong woman na ni mwanaume (hamorapa)
 
Nyie ndio mna shida haiwezekan nikuhudumie then uanze kuweka mashart
Kuna maana gan ya kuhudumia kama unapanga do's and donts
Kwahiyo kama unanihudumia basi sipaswi kupanga jamani!!!
Leo nakudate wewe nakuleta kwangu, kesho tumeachana namleta mwingine duuuuuh!! Hapana jamani.
 
Kwahiyo kama unanihudumia basi sipaswi kupanga jamani!!!
Leo nakudate wewe nakuleta kwangu, kesho tumeachana namleta mwingine duuuuuh!! Hapana jamani.
Kwann uwaze kuwa tukiachana na wewe ukija kwangu tukiachana na mie nionekane kiwembe
Fair game own ur place and weka sheria no one will bother u
By tha way Kwan nikija hapo kwako watajuaje kama umegegedwa au utaenda kusimulia nikitoka
 
Je kama una nyumba au amekupangia nyumba zima yenye geti? yaani inajitegemea
 
Sasa kama mimi nilienda nyumbani kao nikaingia room kwake akapika na menyu nikala kisha nikamgegeda na nduguze wakiwepo bila kujua chochote na muda wa kutoka nikapitia mlango wa uwani sembuse hapo kwenye kighetto chako tena ndio nakulipia kodi kabisa.

Yani hapo unagegedwa na nikichoka nalala kabisa. Nikiamka nagegeda tena na nitaondoka siku ninayotaka.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Kwann uwaze kuwa tukiachana na wewe ukija kwangu tukiachana na mie nionekane kiwembe
Fair game own ur place and weka sheria no one will bother u
By tha way Kwan nikija hapo kwako watajuaje kama umegegedwa au utaenda kusimulia nikitoka
Lazima niwaze, kwani nina hati miliki nawe? Wewe kama kwako unaruhusu its okey, sio lazima msimamo wangu uwe wako.
Hayo ndio masharti, kama hautaki basi hata sikushikii bunduki unilipie kodi as i can manage on my own pia.
 
Kuna wanawake wengine utaona yeye ndo ana chumba lakini haishi kuleta wanaume humo chumbani kwake, mimi naona sio picha nzuri.

Mimi binafsi sipendelei kwa mfano, nina mpenzi wangu alafu aje kwangu alafu tusex. Huwa sipendi kabisa. Atakuja kwangu tutapiga story nk. Lakini kama ni sex, tutafanyia kwingine. Hata kama unanilipia kila kitu.

Tutafanyia kwako tu
mmmmh itakuwa ngumu saana, na hakuna mwanamke mwenye uwezo wa kufanya hivyo! kama wapo bac ni 0.0000000001%
 
Back
Top Bottom