Mwanamke unawezaje kuishi kwenye ndoa na mwanaume ambae hauna hisia nae?

Mwanamke unawezaje kuishi kwenye ndoa na mwanaume ambae hauna hisia nae?

Wakati mwingine huwa naamini akili za baadhi ya wanawake hazipigi reverse.
 
Never make permanent dicisions on temporary feelings ila kinachowaponza wanawake ni kupenda sana pesa na haya ndo matokeo yake
 
'She is a big liar' you don't have to accuse me or judge me. If you dont have anything to help just brush it off.
Una miaka mingapi kwenye ndoa? Kabla hamjaona mlifahamiana kwa muda gani? Nataka nikupe ushauri sahihi
 
Sasa boss kwa case ya mtoa mada akiwa real unadhani hii ndoa itamaliza hata mwaka bila Divorce? Nina hakika hata sex inampa tabu sana ku cope nayo maana hampendi jamaa na hela imeshakuwa haina msaada katika hilo!
Kwa case hii sijatoa solution. Mtoa mada ana Uhuru either apritend au aweke tu wazi kiwa hafurahii mahusiano. Aanze ambele
 
VP huko mtaani ushatongozwa na mtu yyte ambaye una mzuka nae.....nijibu hapa nikushauri kitu...
 
Kila siku huwa nasemaga wanawake ni viumbe wa ajabu sana....pengine angekutana na jamaa kamla tigo basi angempenda balaa....ama angekutana na wanaovaa suruali kata K....
 
Hv nilishawahi kukwambia ww una akili...!
Unajitaftia balaa aisee shukuru umempata anayekupenda na ni responsible father hayo mengine potezea. Seems ulimpendea hela sasa ulicho kitamani umeona upuuzi. Ndo mana mimi first principle yangu ni love then mengine.
 
Amini! amin! Nakuambia mahusiano ambayo yameanzishwa na mwanamke (mwanamke kuanza kuvutiwa na mwanamme/mwanamke kujitongozesha kwa mwanamme) yanadumu 90% kuliko Yale ya kawaida tuliyozoea ya sisi wanaume kuwatongoza wao!
So, Mimi nasuburiaga wajilete wao..na sijawahi juta katika mbinu yangu hii
Utaoaje machangupaka ww...
 
Wakati wa uhusiano kabla ya ndoa nlikua na sita juu ya hisia zangu za kimapenzi juu yake, hakua na shida yoyote na nlivutiwa na vile he is 'a good package', the least I can say, ni mkaka mzuri sana,mchapakazi, mkarimu na ana upendo wa dhati.

Nlipokuwa najitafakari na kuomba ushauri watu wa karibu including dada yangu alinambia usipoteze chance ya kuwa nae "he is one in millions" na utajifunza kumpenda taratibu. Lakini muda umepita sana bado sijajifunza kumpenda. Siku ya harusi yangu nlijua kabisa ninasita sita, yaani ile furaha ile saaana sikua nayo. Nlijua tu labda ni woga wa tukio kubwa sana maishani lakini hata baada ya hapo hisia zangu hazijabadilika.

Ni mume mzuri, ananipenda na kunijali sana, hana shida kabisa na tunatunza familia yetu vizuri kabisa na tunaelewana katika aspects nyingine za maisha vizuri na hatuna ugomvi wala mikwaruzano, lakini shida ni kuwa ile chemistry haipo, yaani sipendi intimacy nae, sitamani aniguse , anibusu wala anishike.

Sijawahi kucheat ila natamani kujua namna gani nifanye ili niweze kufurahia ndoa yangu
Jaribu kutoka naye muwe peke yenu pamoja angalia mov za mapenzi hasa love story atajifunza kumpenda kingine ucmkumbuke Yule wa zamani inaonekana kuna mtu unampenda na ulikuwa naye kwenye mahusiano nyuma jaribu kufuta hisia za nyuma kama una vitu alikuachia vitupe jitoe kwa mpenzi wako hasa mkiwa faraghani kama hakufikishi ongea naye aongezee vile unataka kama hayuko romantiki mfundishe cc binadamuu tunaweza mpenda mtu yoyote ila kama akili yako umeshaiambia humpendi na hutampendi itune akili yako kwanza utampenda naamini saivi unasema2 humpendi ila cku akipata wa pemben utajisikia vibaya sana na moyo utakuuma sana au cku ukiachana naye
 
Nashukuru Mungu nlikwepa huo mtego wa kuolew na mtu nisiye na hisia nae ,nliamua kuwa na subira hadi nlipompata tunae endana tena nlimpata katika namna ambayo haikua rahisi kuamini... subira ni ibada...pole bibie
Wanawake mna mambo yenu ya kificho sana....mioyo yenu mnaijua wenyewe....ndio maana akina sie tuliamua kuchagua mpenzi beer....my beer never lie,never hold back her love to me when I gotta a drink...
 
Ma dear, tunaishi mara moja katika dunia hii.Kama hakupi amani achana nae katafute wa moyo wako. Nadhani kuna wengi wanampenda hila wewe ndo unawashikia shuka jekundu. Muache na yeye atafute yule Mungu amempangia.
Dah aki nimeshika kichwa
 
Wakati wa uhusiano kabla ya ndoa nlikua na sita juu ya hisia zangu za kimapenzi juu yake, hakua na shida yoyote na nlivutiwa na vile he is 'a good package', the least I can say, ni mkaka mzuri sana,mchapakazi, mkarimu na ana upendo wa dhati.

Nlipokuwa najitafakari na kuomba ushauri watu wa karibu including dada yangu alinambia usipoteze chance ya kuwa nae "he is one in millions" na utajifunza kumpenda taratibu. Lakini muda umepita sana bado sijajifunza kumpenda. Siku ya harusi yangu nlijua kabisa ninasita sita, yaani ile furaha ile saaana sikua nayo. Nlijua tu labda ni woga wa tukio kubwa sana maishani lakini hata baada ya hapo hisia zangu hazijabadilika.

Ni mume mzuri, ananipenda na kunijali sana, hana shida kabisa na tunatunza familia yetu vizuri kabisa na tunaelewana katika aspects nyingine za maisha vizuri na hatuna ugomvi wala mikwaruzano, lakini shida ni kuwa ile chemistry haipo, yaani sipendi intimacy nae, sitamani aniguse , anibusu wala anishike.

Sijawahi kucheat ila natamani kujua namna gani nifanye ili niweze kufurahia ndoa yangu
Hujawah cheat....
Unataman kujua namna ya kufurahia ndoa yako.

Nn ufanye..... ..


Mwanamke hakuumbwa kumpenda mwanaume .

Mimi nadhan kuna haja ya kujitafakari, huyo ni pepo ndo anakusumbua.

Nakama utacheat ili ujifurahishe while umejiegeza ndoan kwa jamaa.... Icho ni Kichocho.

KAA, ONGEA NAYE.
 
Mimi nifanye nini sasa na njaa inaniuma hahaa ila kiukweli najitahidi sana kukaa mbali nae tatizo huwa tunajikuta tu automaticay tumekutana
Fanya umpende mwenzako. Apo unakuta unamfikiria mtu ambae akufikirii af jamaa anapambana kukuridhisha. Mi kanuni ni moja 2 simpendi mwanamke asienipenda.
 
Kwanza sio kweli kwamba pesa ndio iliyonivuta kwake ila generally ni mkaka mwenye sifa nzuri, hata mimi nina kazi na kipato changu kiasi. Ninakiri kukosea kuolewa bila ya kuzingatia hisia zangu. Ninachohitaji ni namna ya kuifanya ndoa yangu yenye furaha ya kweli. Nini nifanye??
Sasa utafanyaje mnawatotot wa ngapy ?
 
Ushauri kwa vijana wa kiume wasioowa. ....

Ukitaka ndoa yako idumu na iwe yenye furaha oa mwanamke mwenye hofu ya Mungu na aliyesoma mwisho form four asiyeajiriwa.

Mtoa mada ni living example.
 
'She is a big liar' you don't have to accuse me or judge me. If you dont have anything to help just brush it off.
Ndugu hunifahamu wala sikufahamu. Nidanganye ili iwaje? Nini faida ya kudanganya hapa?
Nimesema na nimejiongelea binafsi kile ninapitia. Nina makosa yangu nimefanya ninaloangalia ni kuyasahihisha.
YOU CANT MARRY A PERSON YOU DONT LOVE, say the truth you married him coz of his money,bla bla bla bla
 
Back
Top Bottom