Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamaanisha nini ?
"Binadamu hajui nini anataka"
Sio mwanamke tu.
Ilala wewe umezidi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji85]
Nadhani kuna kitu hujakielewa hapa, mimi na huyu mtu hatuna uhusiano wa kimapenzi yaani tulianza kuzoeana kama kaka na dada (ni homeboy) na hii kwamba ananipenda kivingine nimegundua siku za karibuni tu na siku za nyuma wala hakuwahi kuonyesha hizo dalili nimegundua mwaka jana na tunafahamiana miaka mingi...usidhani nafurahia hii hali ndio maana najitahidi kwa sasa kukaa nae mbaliAs Bad as it sounds ndivyo hasa anatakiwa kukufanyia hivo, kutikisa akili yako tu makusudi and never putting your mind at rest! Awe haeleweki kabisaa then from there utapata kujua kuwa aliyokuwa anakufanyia ni ya kuthaminiwa sana! Kimsingi hili hurudisha akili za wasichana wengi ambao wanaona wana deserve kufanyiwa favors bila kuonesha shukurani!
Thats true na mapenzi ambayo pesa haijayatawala kwa sehemu kubwa huwa yanakuwa na amani sana, najiulizaga hivi wale jamaa wanaooana kijijini wengine hawajasoma kabisa mbona wana peace of mind sana na maisha yao yanakwenda poa! Mtu ana mke na watoto wake kadhaa anaenda shamba anarudi mke anaenda sokoni anarudi anapika watoto wanakula vizuri with extreme happiness wazazi wanafarijiana mambo yanaenda poa tu! Hata wakila dagaa mlenda kwao dua tu! Sasa nyie wa mjini mnaoaminika mmesataarabika na wasomi mnakosea wapi?Nawafahamu ambao hawana pesa na wameshibana na wanafurahia ndoa vyema tu. Tatizo ni misingi tu na malezi.
Hio approach nzuri, mteme tu kidizaini ataelewa!Nadhani kuna kitu hujakielewa hapa, mimi na huyu mtu hatuna uhusiano wa kimapenzi yaani tulianza kuzoeana kama kaka na dada (ni homeboy) na hii kwamba ananipenda kivingine nimegundua siku za karibuni tu na siku za nyuma wala hakuwahi kuonyesha hizo dalili nimegundua mwaka jana na tunafahamiana miaka mingi...usidhani nafurahia hii hali ndio maana najitahidi kwa sasa kukaa nae mbali
Thats true na mapenzi ambayo pesa haijayatawala kwa sehemu kubwa huwa yanakuwa na amani sana, najiulizaga hivi wale jamaa wanaooana kijijini wengine hawajasoma kabisa mbona wana peace of mind sana na maisha yao yanakwenda poa! Mtu ana mke na watoto wake kadhaa anaenda shamba anarudi mke anaenda sokoni anarudi anapika watoto wanakula vizuri with extreme happiness wazazi wanafarijiana mambo yanaenda poa tu! Hata wakila dagaa mlenda kwao dua tu! Sasa nyie wa mjini mnaoaminika mmesataarabika na wasomi mnakosea wapi?
'She is a big liar' you don't have to accuse me or judge me. If you dont have anything to help just brush it off.
Ndugu hunifahamu wala sikufahamu. Nidanganye ili iwaje? Nini faida ya kudanganya hapa?
Nimesema na nimejiongelea binafsi kile ninapitia. Nina makosa yangu nimefanya ninaloangalia ni kuyasahihisha.
Kwamba sijui nini nataka?
Mie nataka hela tu.
sasa naona hata tumapenzi huyu hana kabisaMy dear ulikosea sana tangu pale ulipoamua kuolewa nae. Mimi pia hali hiyo imeshanikuta...kuna huyu kaka ananipendaga, hajawahi kunitamkia hivi seriously ila matendo yake yanaonyesha waziwazi mwanzo tulikuwa kama kaka na dada tu ila huwa ananisaidia sana, ananijali shida yangu anaibeba kama yake, asione nna shida atafanya juu chini anitatulie japo hana pesa kihivyoo ila ni mchakarikaji na vijisenti vya hapa na pale havimpigi chenga. Anajitahidi kunionyesha mapenzi ila mimi hajawahi kunishtua hata ubongo yani simpendiii yaani akinihug kikawaida hivi labda tuseme tunasalimiana najinasua fasta natamani nimsukumie kule, hapa ndio najua si kweli kwamba mwanamke anaweza akawa na mahusiano na mtu kwajili ya pesa tu..lazima kunakuwa na tumapenzi japo kiduchu hata siku moja pesa haiwezi kununua mepenzi trust me.
ww jamaa ni kiatu,umenichekesha kweli hahahaha haaaUnatamani umpendaje hebu tueleze. Akikushika huko chini hapalowani?
sasa naona hata tumapenzi huyu hana kabisa
hapo ndo ijue nguvu ya pesa,wanawake nyiny ni shida sanaNdio maana mimi nashangaa ilikuwaje yani
hapo ndo ijue nguvu ya pesa,wanawake nyiny ni shida sana
Ninachoangalia je huyu mwanamke anaweza kubeba na kunisindikiza katika kutimiza kusudi langu nililoletewa hapa duniani naoa, sina muda huo wa kutafuta kupendwa kama ninavyompenda akiniheshimu tu imetosha. Hawa alitolewa kwenye ubavu wa Adam lakini bado hakumpenda kwa dhati akamsaliti mchana peupe na kumkosesha adam na MUNGU sembuse wewe tuliyekutana mbagala. Kuna muda tunawapenda sana kwa sababu ya tabia na mienendo yenu kuwa mizuri ila sio kwamba ni wazuri kuzidi hao wengine. Ukipendwa tulia, hakuna mwanaume mwenye hisia na mwanamke mmoja tu ni vile tunawaheshimu.
Inawezekana Eva alikua mwema zaidi ya hawa wa sasa.