Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
Reference ya hoja yangu ina sapotiwa na point hizi...Sio kweli
Ni sehemu gani nimeandika kwamba naishi na mwanamke?Aisee sasa wewe unaishije bila kumpenda mwanamke? hahaahaha aisee hapa JF kuna vituko
Tatizo tukionana nae huwa ananiuliza maswali anapenda kujua nafanya nini,Nafikiria kufanya nini au ningependa kufanya nini maswali kama hayo unajikuta umeshamwambia shida zako hahahaEti automatically,usimpe shida zako basi
Huyu nae anatakiwa apunguze supply yake kwako.Mimi nifanye nini sasa na njaa inaniuma hahaa ila kiukweli najitahidi sana kukaa mbali nae tatizo huwa tunajikuta tu automaticay tumekutana
Hili ni swala la kisaikolojia zaidi. Wewe huna cha kufanya yeye ndiye anatakiwa aache kukutriti vizuri.Kwanza sio kweli kwamba pesa ndio iliyonivuta kwake ila generally ni mkaka mwenye sifa nzuri, hata mimi nina kazi na kipato changu kiasi. Ninakiri kukosea kuolewa bila ya kuzingatia hisia zangu. Ninachohitaji ni namna ya kuifanya ndoa yangu yenye furaha ya kweli. Nini nifanye??
Ulichokiandika sasa hivi tofauti na kile ulichoandika mwanzo...kupunguza supply naweza kukubaliana na wewe lakini sio kimtreat mtu like shit..hivi unajua kumtreat mtu like shit lakini au umeteleza tuReference ya hoja yangu ina sapotiwa na point hizi...
1. The law of demand and supply. Huyo mume demand yake ni ndogo alafu ana higher supply.
Hapa anatakiwa apunguze supply ili demand iongezeke na ata fanikiwa hivyo kwa kutomjali huyu mwanamke, yani amtriti rafu kadri awezavyo walau kwa mwezi tu. Aone kama demand yake haijapanda na intimacy/chemistry kurudi.
2. My experience.
Haya na wewe niletee point zako za kusapoti hoja yako ya "si kweli"!
we mdangie tu akikuomba papuchi uanze kulialiaTatizo tukionana nae huwa ananiuliza maswali anapenda kujua nafanya nini,Nafikiria kufanya nini au ningependa kufanya nini maswali kama hayo unajikuta umeshamwambia shida zako hahaha
Ahahaha kaka najua hii ni kazi ya subconscious mind,ebu mpe zile njia za kutumia kuidanganya subconscious ili ifuate kile inachosikia.Jifunze ku fake tu.
Mwishowe fake itaku-fake na wewe.
Utajikuta ushampenda....
Apumzike tu sina hata mpango wa kuwa naeHuyu nae anatakiwa apunguze supply yake kwako.
Unamchukulia hivi kwa sababu he is there for you all the time.
Wahenga walisema "usipajali uwepo wake utajali akipotea".
Huyu nae kinachoenda kumkuta ni sawa na cha mume wa mleta mada.
Papuchi mbona huwa anaomba ila kisiasa sana mi najitoa tu ufahamu najifanya sijamuelewawe mdangie tu akikuomba papuchi uanze kulialia
haya njoo pm basi tuyajenge taratiibuPapuchi mbona huwa anaomba ila kisiasa sana mi najitoa tu ufahamu najifanya sijamuelewa
Linaweza kuwa neno lenye maana nyingi. Ila nilichomaanisha ni kuto kumjali kupita kiasi, kuwa busy na mambo yake hasa ya kimaendeleo, kuwapa muda mwingi watoto kama wapo.Ulichokiandika sasa hivi tofauti na kile ulichoandika mwanzo...kupunguza supply naweza kukubaliana na wewe lakini sio kimtreat mtu like shit..hivi unajua kumtreat mtu like shit lakini au umeteleza tu
Linaweza kuwa neno lenye maana nyingi. Ila nilichomaanisha ni kuto kumjali kupita kiasi, kuwa busy na mambo yake hasa ya kimaendeleo, kuwapa muda mwingi watoto kama wapo.
Umeelewa?
Mimi nakuangalia tu unavyo jipa moyo teh teh teh eti sina mpango wa kuwa nae aiseee.Apumzike tu sina hata mpango wa kuwa nae
My dear ulikosea sana tangu pale ulipoamua kuolewa nae. Mimi pia hali hiyo imeshanikuta...kuna huyu kaka ananipendaga, hajawahi kunitamkia hivi seriously ila matendo yake yanaonyesha waziwazi mwanzo tulikuwa kama kaka na dada tu ila huwa ananisaidia sana, ananijali shida yangu anaibeba kama yake, asione nna shida atafanya juu chini anitatulie japo hana pesa kihivyoo ila ni mchakarikaji na vijisenti vya hapa na pale havimpigi chenga. Anajitahidi kunionyesha mapenzi ila mimi hajawahi kunishtua hata ubongo yani simpendiii yaani akinihug kikawaida hivi labda tuseme tunasalimiana najinasua fasta natamani nimsukumie kule, hapa ndio najua si kweli kwamba mwanamke anaweza akawa na mahusiano na mtu kwajili ya pesa tu..lazima kunakuwa na tumapenzi japo kiduchu hata siku moja pesa haiwezi kununua mepenzi trust me.
Anyway labda nieleze kwamba umeandika kwamba kosa ni kuonesha kumpenda mwanamke. Sasa nakuuliza Je ikitokea ukaishi na mwanamke utawezaje kukaa nae bila kuonesha unampenda?Ni sehemu gani nimeandika kwamba naishi na mwanamke?
Mimi nakuangalia tu unavyo jipa moyo teh teh teh eti sina mpango wa kuwa nae aiseee.
We ngoja siku akipotea ndio utaelewa kama huna mpango nae. Au siku akipata demu mkali kuliko wewe alafu akukaushie kabisa ndio akili itakukaa sawa.
Sasa hivi endelea kujipa moyo kwamba huna mpango nae.