Mwanamke unawezaje kuishi kwenye ndoa na mwanaume ambae hauna hisia nae?

Mwanamke unawezaje kuishi kwenye ndoa na mwanaume ambae hauna hisia nae?

Kinachokukuta ndio kinawakuta zaidi ya 90% ya waliopo kwenye Ndoa.

Wanawake wengi ni 'fakers', wanauwezo wa kuigiza miaka nenda rudi ali mradi tu Jamaa mifukoni kunaeleweka.
kweli mkuu, mimi nikija pata wa kuoa, nitamwabia anipe sababu kaa 10 za kunipenda na kutaka tufunge ndoa, sitaki fakes in my life
 
Hiyo picha unapiga wakati bado anakujali na unaona he is here to stay na hawezi ondoka.

Trust me, siku akiondoka alafu "ukipiga tena hiyo picha" ndo utanielewa ninachoandika.

Cha msingi hakikisha unatunza kumbu kumbu ya niliandika hapa maana kuna siku itakutokea.
Mkuu mimi hata sijui bwana hahaa
 
Ma dear, tunaishi mara moja katika dunia hii.Kama hakupi amani achana nae katafute wa moyo wako. Nadhani kuna wengi wanampenda hila wewe ndo unawashikia shuka jekundu. Muache na yeye atafute yule Mungu amempangia.
hawezi muache maana yake haja kubwa ni hela
 
so unajuta. nyi wanawake nyie, sijui hata la kusema, ngoja tukushauri hivi siku moja wachukue wanao na baba yao, muende sehemu ya mbali kabisa, kama week hivi., look at ur kids/daughters wakicheza, mwangalie mmeo vizuri usoni, rudisha memory zako the day ali**uk mara ya kwanza, angalia malaika mlipata....anzia hapo kujifunza kumpenda.
it seems you never understood her pls
 
Tatizo namheshimu sana pengine ye anajua ndio mapenzi daah I wish ajue
Hzo "i wish" ndo znazo wacost wadada wengi nayajua maumivu ya kuwaza A na matokea kumbe n B ina pain sana

Tatzo litakuja ni muda alowekeza kwako heb fanya njia yeyote aweze ku move on
 
Mwanaume.My point is mtu anayejielewa awe mwanaume ama mwanamke hawezi kumbatia unhealthy relationship kwa kisingizio cha uvumilivu,coz uvumilivu una mipaka.
You mis my point. Wanawake wana survive katika mahusiano pamoja na na uwepo wa mengi lakini namba moja penzi la dhati. Kwahiyo mke anaweza akakaa kwa mumewe mwenye tabia mbaya kwa sababu tu anampenda huku akiomba labda kuna siku atabadilika. Akili za kwako wewe mwanaume linapokuja suala la mapenzi kwa mwanamke ni tofauti babu.

Kwa upande wa wanaume linapokuja suala la mapenzi siye ni tofauti. Soma post yangu niloanza nayo.
 
Kila kitu unachofanya kwa ajili yako usifanye too much.

Kama amezoea ukija unamletea zawadi basi punguza. Sio kila saa akitumia text unajibu mda huo sometimes chelewa hata dakika kumi...

Sio kila saa unakua good kwake sometimes unamkoromea.

Yani unatengeneza mazingira aone kwamba hauko deep kwake japo kiuhalisia unampenda.

Hata wewe nakushauri usilogwe uwe na mwanamke alafu agundue unampenda, you will suffer.
Mapenzi hayana sheria mdogo wangu.nipo kwenye ndoa mwaka wa 10 huu .kuwa free like a molecule acha hisia za kawaida za kibinadamu zikuongoze.
 
My dear ulikosea sana tangu pale ulipoamua kuolewa nae. Mimi pia hali hiyo imeshanikuta...kuna huyu kaka ananipendaga, hajawahi kunitamkia hivi seriously ila matendo yake yanaonyesha waziwazi mwanzo tulikuwa kama kaka na dada tu ila huwa ananisaidia sana, ananijali shida yangu anaibeba kama yake, asione nna shida atafanya juu chini anitatulie japo hana pesa kihivyoo ila ni mchakarikaji na vijisenti vya hapa na pale havimpigi chenga. Anajitahidi kunionyesha mapenzi ila mimi hajawahi kunishtua hata ubongo yani simpendiii yaani akinihug kikawaida hivi labda tuseme tunasalimiana najinasua fasta natamani nimsukumie kule, hapa ndio najua si kweli kwamba mwanamke anaweza akawa na mahusiano na mtu kwajili ya pesa tu..lazima kunakuwa na tumapenzi japo kiduchu hata siku moja pesa haiwezi kununua mepenzi trust me.
i get your point, but no one forces a lady to love him, so if you yourself you never want anything to do with this bro, why dont you do the necessary, introduce him to your bf or lover, game over, but the fact you havent done that means you still want him to continue helping you, yaani unataka kuendelea kumutumia tu,kama binti hakupenda anakuoyesa mpenzi wake, lakini story kaa ya huyu hapa aliolewa tu ndio ale hela ya huo bwana, hakuna lingine
 
Kuna siku asubuhi nimeamka nakutana na ule wimbo wa Baraka sijui unaitwaje nadhani kama unasikilizaga bongo flavour umeshaujua
Hzo "i wish" ndo znazo wacost wadada wengi nayajua maumivu ya kuwaza A na matokea kumbe n B ina pain sana

Tatzo litakuja ni muda alowekeza kwako heb fanya njia yeyote aweze ku move on
 
Hapana sijutii. Ila ninatamani kumpenda kama anavyonipenda na kufurahia kuwa nae.
Acha zako hukumpenda ulipenda hela yake, ongea ukweli, unaweza aje oa mtu humupendi au wewe ni muislamu, maana waislamu ndio huolewa hizo ndoa za lazima
 
My dear ulikosea sana tangu pale ulipoamua kuolewa nae. Mimi pia hali hiyo imeshanikuta...kuna huyu kaka ananipendaga, hajawahi kunitamkia hivi seriously ila matendo yake yanaonyesha waziwazi mwanzo tulikuwa kama kaka na dada tu ila huwa ananisaidia sana, ananijali shida yangu anaibeba kama yake, asione nna shida atafanya juu chini anitatulie japo hana pesa kihivyoo ila ni mchakarikaji na vijisenti vya hapa na pale havimpigi chenga. Anajitahidi kunionyesha mapenzi ila mimi hajawahi kunishtua hata ubongo yani simpendiii yaani akinihug kikawaida hivi labda tuseme tunasalimiana najinasua fasta natamani nimsukumie kule, hapa ndio najua si kweli kwamba mwanamke anaweza akawa na mahusiano na mtu kwajili ya pesa tu..lazima kunakuwa na tumapenzi japo kiduchu hata siku moja pesa haiwezi kununua mepenzi trust me.
Hahaaa nyie bana daah....ndo maana mnatendwa sana kumbe
 
You mis my point. Wanawake wana survive katika mahusiano pamoja na na uwepo wa mengi lakini namba moja penzi la dhati. Kwahiyo mke anaweza akakaa kwa mumewe mwenye tabia mbaya kwa sababu tu anampenda huku akiomba labda kuna siku atabadilika. Akili za kwako wewe mwanaume linapokuja suala la mapenzi kwa mwanamke ni tofauti babu.

Kwa upande wa wanaume linapokuja suala la mapenzi siye ni tofauti. Soma post yangu niloanza nayo.
nimekuelewa chief
 
Kwanza sio kweli kwamba pesa ndio iliyonivuta kwake ila generally ni mkaka mwenye sifa nzuri, hata mimi nina kazi na kipato changu kiasi. Ninakiri kukosea kuolewa bila ya kuzingatia hisia zangu. Ninachohitaji ni namna ya kuifanya ndoa yangu yenye furaha ya kweli. Nini nifanye??
those are the kind of questions you could have asked before marriage, you never did courting, counselling and such????????????????????????????????????????
 
Mapenzi hayana sheria mdogo wangu.nipo kwenye ndoa mwaka wa 10 huu .kuwa free like a molecule acha hisia za kawaida za kibinadamu zikuongoze.
Kuna sehemu ya kuwa free, ila kwa case ya mleta mada ukiwa free kama unasema jiandae kusaza meno siku za mbeleni.
 
Nimeiona mahali
Screenshot_20181121-194835~2.jpeg
 
Back
Top Bottom