Herr muller
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 1,017
- 1,210
kweli mkuu, mimi nikija pata wa kuoa, nitamwabia anipe sababu kaa 10 za kunipenda na kutaka tufunge ndoa, sitaki fakes in my lifeKinachokukuta ndio kinawakuta zaidi ya 90% ya waliopo kwenye Ndoa.
Wanawake wengi ni 'fakers', wanauwezo wa kuigiza miaka nenda rudi ali mradi tu Jamaa mifukoni kunaeleweka.