Bmichy68
JF-Expert Member
- Sep 3, 2018
- 834
- 1,180
Ni kweli situation kama hizo mnatufanyiaga sana yan unakuta una hustle kwa ajili ya mwanamke mwisho wa siku unapigwa za uso bila huruma..Haha ni kweli boss
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli situation kama hizo mnatufanyiaga sana yan unakuta una hustle kwa ajili ya mwanamke mwisho wa siku unapigwa za uso bila huruma..Haha ni kweli boss
Mimi siwezi kusema anahustle kwaajili yangu bwana ananipaga tu chenji zinazobakiNi kweli situation kama hizo mnatufanyiaga sana yan unakuta una hustle kwa ajili ya mwanamke mwisho wa siku unapigwa za uso bila huruma..
he he heAhahaha kaka najua hii ni kazi ya subconscious mind,ebu mpe zile njia za kutumia kuidanganya subconscious ili ifuate kile inachosikia.
Natumai itamfaa mkuu.
Oky kwahivyo ni akili yako tu inakuambia huyu mume anakupenda, na umeeleza vile anakushugulikia kwa kila kitu, kaa huamini anakupenda bona akili yako ikundangaya anakupenda, na habari ya hio kidume huna mpenzi wewe?Kwa hiyo nitafute kidume chochote nikiintroduce kwake? Kwa nini nifike mbali hivyo wakati mambo haya yanazungumzika tu? Hajawahi kunitamkia kwa hiyo mimi sijui hata naanzia wapi kumkataa mtu ambae hajanitaka
Oky kwahivyo ni akili yako tu inakuambia huyu mume anakupenda, na umeeleza vile anakushugulikia kwa kila kitu, kaa huamini anakupenda bona akili yako ikundangaya anakupenda, na habari ya hio kidume huna mpenzi wewe?
Nmependa hii [emoji122]Reference ya hoja yangu ina sapotiwa na point hizi...
1. The law of demand and supply. Huyo mume demand yake ni ndogo alafu ana higher supply.
Hapa anatakiwa apunguze supply ili demand iongezeke na ata fanikiwa hivyo kwa kutomjali huyu mwanamke, yani amtriti rafu kadri awezavyo walau kwa mwezi tu. Aone kama demand yake haijapanda na intimacy/chemistry kurudi.
2. My experience.
Haya na wewe niletee point zako za kusapoti hoja yako ya "si kweli"!
Wanawake wengi wanaangalia pesa tu, kuna mmoja nilimuunganishia kwa mzee mkubwa tu ila pesa ipo tokea siku ya kwanza aliniambia hampendi babu,lkn sbu ya pesa akafunga ndoa wana watoto wazuri tu,,ila Kila week anatoroka ananiletea Mimi nimle anasema hana hamu na babuHuyo mume wako ana makosa sana, mwanamke ukimuonyesha una mpenda ndo umeharibu.
Inatakiwa aku treat like a shit alafu uone hiyo chemistry sijui intimacy kama haitakuja bila kupenda...
Kweli mkuu wanawake wa ajabu sana...kuna boya mmoja alitaka kuniendesha sana, siku nilipojifunza ukauzu ndo ukawa mwanzo wa maisha mapya!!Huyo mume wako ana makosa sana, mwanamke ukimuonyesha una mpenda ndo umeharibu.
Inatakiwa aku treat like a shit alafu uone hiyo chemistry sijui intimacy kama haitakuja bila kupenda...
alafu sijui kwann huwa mnapenda kugeneralize kuwa kila mwanamke anavutika na pesa.. sio kweli.. kukata hisia kwa mwanaume wako kunachangia vitu vingi jaman.. sio pesa tuWanawake wengi wanaangalia pesa tu, kuna mmoja nilimuunganishia kwa mzee mkubwa tu ila pesa ipo tokea siku ya kwanza aliniambia hampendi babu,lkn sbu ya pesa akafunga ndoa wana watoto wazuri tu,,ila Kila week anatoroka ananiletea Mimi nimle anasema hana hamu na babu
My dear ulikosea sana tangu pale ulipoamua kuolewa nae. Mimi pia hali hiyo imeshanikuta...kuna huyu kaka ananipendaga, hajawahi kunitamkia hivi seriously ila matendo yake yanaonyesha waziwazi mwanzo tulikuwa kama kaka na dada tu ila huwa ananisaidia sana, ananijali shida yangu anaibeba kama yake, asione nna shida atafanya juu chini anitatulie japo hana pesa kihivyoo ila ni mchakarikaji na vijisenti vya hapa na pale havimpigi chenga. Anajitahidi kunionyesha mapenzi ila mimi hajawahi kunishtua hata ubongo yani simpendiii yaani akinihug kikawaida hivi labda tuseme tunasalimiana najinasua fasta natamani nimsukumie kule, hapa ndio najua si kweli kwamba mwanamke anaweza akawa na mahusiano na mtu kwajili ya pesa tu..lazima kunakuwa na tumapenzi japo kiduchu hata siku moja pesa haiwezi kununua mepenzi trust me.
Lkn hela yake unachukua,wahujumu uchumi mpo wengi
Vitu gani ivyo? Fanya kuvitajaalafu sijui kwann huwa mnapenda kugeneralize kuwa kila mwanamke anavutika na pesa.. sio kweli.. kukata hisia kwa mwanaume wako kunachangia vitu vingi jaman.. sio pesa tu
Vitu gani ivyo? Fanya kuvitaja
Papuchi mbona huwa anaomba ila kisiasa sana mi najitoa tu ufahamu najifanya sijamuelewa
Mkuu Hisia ni nini ???alafu sijui kwann huwa mnapenda kugeneralize kuwa kila mwanamke anavutika na pesa.. sio kweli.. kukata hisia kwa mwanaume wako kunachangia vitu vingi jaman.. sio pesa tu
Duh nazani wahusika waliooa wameupata ukweliwanakata hisia baada ya mienendo yenu kua ya hovyo hvyo.. au mnakua wachafu chafu hamjijali..ukipata pesa unamsahau mkeo ukiishiwa ndo unakumbuka una mke..fyekelea mbaliii