Mwanamke unawezaje kuishi kwenye ndoa na mwanaume ambae hauna hisia nae?

Mwanamke unawezaje kuishi kwenye ndoa na mwanaume ambae hauna hisia nae?

Kuna sehemu ya kuwa free, ila kwa case ya mleta mada ukiwa free kama unasema jiandae kusaza meno siku za mbeleni.
Napokwambia uwe free namaanisha acha hisia za kawaida za kibinadamu zikuongoze, ikitokea amekuudhi chukia, lia pigana, ongea whatever. Ikitokea amekufurahisha mkumbatie,mpe zawadi, muimbie fanya chochote unachojiskia. I mean ishi kawaida ila usipange muda huu nitafanya hivi au vile au namna gani .sijui kama unanielewa.
 
My dear ulikosea sana tangu pale ulipoamua kuolewa nae. Mimi pia hali hiyo imeshanikuta...kuna huyu kaka ananipendaga, hajawahi kunitamkia hivi seriously ila matendo yake yanaonyesha waziwazi mwanzo tulikuwa kama kaka na dada tu ila huwa ananisaidia sana, ananijali shida yangu anaibeba kama yake, asione nna shida atafanya juu chini anitatulie japo hana pesa kihivyoo ila ni mchakarikaji na vijisenti vya hapa na pale havimpigi chenga. Anajitahidi kunionyesha mapenzi ila mimi hajawahi kunishtua hata ubongo yani simpendiii yaani akinihug kikawaida hivi labda tuseme tunasalimiana najinasua fasta natamani nimsukumie kule, hapa ndio najua si kweli kwamba mwanamke anaweza akawa na mahusiano na mtu kwajili ya pesa tu..lazima kunakuwa na tumapenzi japo kiduchu hata siku moja pesa haiwezi kununua mepenzi trust me.

Lakini Daby akikuhug unakaa hapo muda mrefu![emoji4][emoji4][emoji4]
 
Amini! amin! Nakuambia mahusiano ambayo yameanzishwa na mwanamke (mwanamke kuanza kuvutiwa na mwanamme/mwanamke kujitongozesha kwa mwanamme) yanadumu 90% kuliko Yale ya kawaida tuliyozoea ya sisi wanaume kuwatongoza wao!
So, Mimi nasuburiaga wajilete wao..na sijawahi juta katika mbinu yangu hii
 
Dawa ndogo tu, kafanye mapenzi na baba yako ukirudi hisia kama zote utakuwa nazo.
 
Kwa hiyo nitafute kidume chochote nikiintroduce kwake? Kwa nini nifike mbali hivyo wakati mambo haya yanazungumzika tu? Hajawahi kunitamkia kwa hiyo mimi sijui hata naanzia wapi kumkataa mtu ambae hajanitaka
i get your point, but no one forces a lady to love him, so if you yourself you never want anything to do with this bro, why dont you do the necessary, introduce him to your bf or lover, game over, but the fact you havent done that means you still want him to continue helping you, yaani unataka kuendelea kumutumia tu,kama binti hakupenda anakuoyesa mpenzi wake, lakini story kaa ya huyu hapa aliolewa tu ndio ale hela ya huo bwana, hakuna lingine
 
Tumekosa nini sasa jamani hee
Hivyo viela vidogo unavyochukua huenda vinampa expectation huyo jamaa,akiamini kwamba one day yes jiepushe na wamwaga acid dada yangu.tengeneza mazingira amjue boyfriend wako mapema au la usile vyake.
 
Hivyo viela vidogo unavyochukua huenda vinampa expectation huyo jamaa,akiamini kwamba one day yes jiepushe na wamwaga acid dada yangu.tengeneza mazingira amjue boyfriend wako mapema au la usile vyake.
Yaani nione imethibitishwa nirudishe...nitajaribu mkuu ila nimepanga siku nikibarikiwa nitamrudishia hela zake na riba
 
Mmmh lazima utakuwa unachepuka aisee,please usije mletea ugonjwa mshikaji,bora ufanye maamuzi mengine tu
 
Uliolewa muda ambao haukua tayari kuingia katika ndoa
 
My dear ulikosea sana tangu pale ulipoamua kuolewa nae. Mimi pia hali hiyo imeshanikuta...kuna huyu kaka ananipendaga, hajawahi kunitamkia hivi seriously ila matendo yake yanaonyesha waziwazi mwanzo tulikuwa kama kaka na dada tu ila huwa ananisaidia sana, ananijali shida yangu anaibeba kama yake, asione nna shida atafanya juu chini anitatulie japo hana pesa kihivyoo ila ni mchakarikaji na vijisenti vya hapa na pale havimpigi chenga. Anajitahidi kunionyesha mapenzi ila mimi hajawahi kunishtua hata ubongo yani simpendiii yaani akinihug kikawaida hivi labda tuseme tunasalimiana najinasua fasta natamani nimsukumie kule, hapa ndio najua si kweli kwamba mwanamke anaweza akawa na mahusiano na mtu kwajili ya pesa tu..lazima kunakuwa na tumapenzi japo kiduchu hata siku moja pesa haiwezi kununua mepenzi trust me.
"Tumapenzi japo kiduchu"😀😀😀😀😁😂
 
Wewe dawa yako ni kupigwa mbupu mpaka unyooke ,akil ikurud, yaan mpaka nyapu inukie nyama choma lazima umuheshimu huyo mumeo period ww
 
Back
Top Bottom