Mwanamke unayehitaji ndoa punguza ufundi kitandani

Mwanamke unayehitaji ndoa punguza ufundi kitandani

Attachments

  • FB_IMG_1729371139727.jpg
    FB_IMG_1729371139727.jpg
    44.8 KB · Views: 7
Sometimes kuolewa ni bahati mkuu mwanamke anaweza kubana ufundi na akaishiwa kuchezewa tu na kuonekana hajui kitu ila mtoa maufundi akaolewa fasta
 
Ndio wamekufumua hivyo umebakia mpana kama masikio ya tembo mzee? Pole yako.
 
Kama Binti upo kwenye mahusiano na mtu ambaye unapenda na kutamani awe mume wako unapojaribu kutengeneza mazingira ili mwamba akuweke kwenye mipango yake basi unapokuwa chumbani punguza ufundi la sivyo utakosa ndoa.

Wakati wa kuonyesha ufundi ni pale ushapata ndoa tena sio ghafla bin vuu taratibu unajifanya ufundi umeupatia kwake. michezo inayofanywa na porn actress sio ya kujaribu wakati wa kutafuta ndoa utabaki unajilaumu kuwa nimempa Kila kitu kaenda kuoa mwanamke mwingine.

Saikolojia ni kuwa unapoona mtu yupo vizuri kwenye kitu fulani akili direct Ina suggest kuwa huyu mtu ana experience sasa unapoleta ufundi kitandani tena bila ya kuambiwa tunaona kabisa huyu ana vinasaba vya riverside ama kimboka unatolewa kwenye consideration ya ndoa unawekwa katika category ya refreshments.
Sisi tunaoa bikira. Nani ataoa Malaya?
 
Kama Binti upo kwenye mahusiano na mtu ambaye unapenda na kutamani awe mume wako unapojaribu kutengeneza mazingira ili mwamba akuweke kwenye mipango yake basi unapokuwa chumbani punguza ufundi la sivyo utakosa ndoa.

Wakati wa kuonyesha ufundi ni pale ushapata ndoa tena sio ghafla bin vuu taratibu unajifanya ufundi umeupatia kwake. michezo inayofanywa na porn actress sio ya kujaribu wakati wa kutafuta ndoa utabaki unajilaumu kuwa nimempa Kila kitu kaenda kuoa mwanamke mwingine.

Saikolojia ni kuwa unapoona mtu yupo vizuri kwenye kitu fulani akili direct Ina suggest kuwa huyu mtu ana experience sasa unapoleta ufundi kitandani tena bila ya kuambiwa tunaona kabisa huyu ana vinasaba vya riverside ama kimboka unatolewa kwenye consideration ya ndoa unawekwa katika category ya refreshments.
Kwaiyo inabidi kula na kupuliza km panya buku 😂😂🙌🏿
 
Back
Top Bottom