The Eric
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 6,446
- 10,976
Greetings members and guests!!!!!
Napokea malalamiko/Kero/misuguano/sintofahamu n.k kuhusu wanawake kuacha kazi kisa wanaume....
Wadada acheni hizi eti unaacha kazi kisa jamaa kasema acha mwisho wa siku ni kuonewa mpaka kufikishana dawati la jinsia na mahakamani.
Kwani nini mnafanya hivo wanaume sio kila kitu yaani unakimbilia libolo Fc wakati jamaa mwenyewe mshamba tu wakolomije.
Kisa yeye unajiona umemaliza mwanaume mwenyewe sasa, mwanaume suruali kama mimi 😅😅😅 afadhali ya mimi....
Napokea malalamiko/Kero/misuguano/sintofahamu n.k kuhusu wanawake kuacha kazi kisa wanaume....
Wadada acheni hizi eti unaacha kazi kisa jamaa kasema acha mwisho wa siku ni kuonewa mpaka kufikishana dawati la jinsia na mahakamani.
Kwani nini mnafanya hivo wanaume sio kila kitu yaani unakimbilia libolo Fc wakati jamaa mwenyewe mshamba tu wakolomije.
Kisa yeye unajiona umemaliza mwanaume mwenyewe sasa, mwanaume suruali kama mimi 😅😅😅 afadhali ya mimi....