Nimeskia my friend 😌Umesikia vizuri lakini usije ukasema hukuambiwa😅😅😅
Unafkir wote Wana akili mangi wapo wapo tu hawafikirii mambo ya kesho! Kuna maisha baada ya bao la tatuMangi wanalia lia tu hawa😁😆😅
Basi tu mijanaume mingine ina wivu halafu kuhudumia haiwezi.Mi najiuliza kama wewe wanajizima wifi
Jamaa wake huyo ni mshamba tena msukuma ndo anampiga vijembe hapa😅Inategemea Mbona Mwigulu alimuachisha kazi mke wake na Wapo happy! Mbona JPM alimwachisha au kazi yake ilishababisha Janeth aache kaziye ya ualimu. Mama Salma wa JK. Je, baada ya kuacha kazi si maisha yanasonga! Msiwe na negative mind kila wakati
Aiseee shikilia hapo...Wakati naolewa mama yangu alinambia "mumeo akikuambia Acha Kazi na wewe ukakubali, basi ukatafute mama mwingine....siwezi kuwa mama wa mtoto asiye na akili"
Kwa kweli naishi humo🤣🤣🤣🤣