Mwanamke usipoolewa ni aibu

Unapotafuta wa kukuzalisha

Inaonekana we ni inkyubeta ya kutotolea mayai, baada ya miaka ishirini dogo anakuchenjia anamtaka baba, hapo ndipo mnapoanza kuwalani kwa kusema baba yako alishakufa. Mtoto anaishi maisha ya uatima huku wazazi mmetimiaa
 
Ndio maana unaona haiba umuhimu, embu fikiria kipindi ulo eji hizo,

Ni kawaida kwa binadamu kuchagua asilokuwa nalo

Wewe una ndoa unawachagulia wenzio usingo
Hujanielewa ndugu yangu. Sijawaambia watu wabaki single..ndoa ni baraka ya ajabu. Ninachosema ni kuwa usiolewe kisa tu umri umeenda. Hivi unadhani ukipata mke ambaye alikubali umuoe kisa tu anaona umri umeenda utafurahia?
Mara nyingi wanakuwa hawajajiandaa kukabiliana na changamoto za ndoa, yeye akitaka sherehe ya harusi ili aonekane ameolewa na atakusumbua.
Umeniquote vibaya.
 
Huna point

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na kwa nini yeye awe miongonu mwa waliokosa ndoa??
 
Aiseee nilikukoti vibaya

Tatizo kwa ukuaji mdogo wa akili za maisha hasa za ndoa, wanajikuta wanapevuka kindoa muda ambao walitakiwa wawe ndani ya ndoa
 
Na kwa nini yeye awe miongonu mwa waliokosa ndoa??
Kama hajapata wa kumuoa basi si riziki yake. Unataka alazimishe hlf aolewe asitulie kwenye ndoa muanze kumsema. Binadamu hamna jema ht kidogo.
Ukielewa nini hasa maana ya ndoa huwezi kukurupuka kuingia, bahati mbaya ni kwamba ukiwa hujaoa/hujaolewa huwezi kuona..ukishaingia ndio unakuta mambo mengi ambayo mwanzo hukuyajua na mbaya zaidi unashindwa kuyakabili.
Angalia malalamiko ya ndoa nyingi siku hizi, nyingi hazina amani na watu wanaishia kujuta kwanini aliingia, kumbe alikurupuka bila kujifunza.
Chukua muda kujifunza maana ya ndoa, changamoto na raha zake kabla hujaingia.
Wasichana waache kufata mkumbo..mtu anaolewa kesho kutwa leo anampa game ex wake unadhani kuna ndoa hapo.
Hii taasisi mnaichukulia juu juu sana. Tatizo ni hilo.
 
Ni kweli, Mwanamke jitahidi uolewe kabla hujafika 32(maximum age).
Baada ya hapo ni aibu kweli.
Aibu yakutokuolewa ni mbaya sana.

Nawaombea kwa Mungu wanawake wote muolewe on time.
Aibu ya kutokuolewa kwa wanawake inasababishwa na nini?
 
Ndoa ni maisha na maisha hayana mwalimu

Aliyemfunda bibi halusi ni bibibaliyeachika miaka kadhaa iliyopita

Aliyemfunza bwana halusi ni babu mwenye wake watatu na anaishi peke yake
Chezea ndoa wewe, pasta anayehubiri neno la Mungu anaomba kibali cha kuoa tenaa
 
Ni kweli unachosema. Basi waolewe kwa mapenzi na si kwa pressure.
 
Hivi ni muolewaji huyu kumbe? Nilijua muoji aje anioe mie nisione aibu![emoji125] [emoji125]
Mkuu......[emoji13] [emoji13] [emoji13]
Huu sasa ni uchochezi
Ebu tusubirie akuje na jibu
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Kwani kuolewa ndiyo mwisho wa maisha? Mtu ataolewa kwa muda aliopangiwa sio kwa kuhofia atasemwa kisa ana 30.
Mwisho wa maisha ni kifo, mwanzo wa maisha ni kuzaliwa na katikati ya maisha ni ndoa

Asikufiche mtu kila kitu cha katikati hua kitam mnoo, ndio maana hata mzizi mkuu wa ndoa uko katikati

Hivyo kila kusudio lako hapa duniani ni ndoa

" enendeni dunia mkaijaze nchi".

Sasa sijui wewe utaijaza nchi kwa vipodozi na mawigi ya kila aina??
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…