Mwanamke Utajiri wa Mume wako Usikufanye uache kazi Maisha Yanabadilika

Mwanamke Utajiri wa Mume wako Usikufanye uache kazi Maisha Yanabadilika

Mohammed wa 5

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2022
Posts
1,215
Reaction score
3,035
Hope ni wazima Wana Jf

Nina sister yangu upande wa baba mwingine (baba mkubwa)kanipita kidogo umri ni mkubwa kwangu baada ya kumaliza degree ya uhasibu miaka Ile alipata kazi benki ya N.... mkoa x

wakati sister yupo chuo alikuwa na mtu wake ambaye amemuoa.
Kabla ndoa walikuwa wanaoishi wote mkoa X,sababu mume wa sister alikuwa vizuri kiuchumi ni tajiri alikuwa ana magari ya mizigo na mabasi ya abiria,gari za kutembelea zilikuwepo.nyumba ya maana.

Mume wa sister ilibidi amshauri sister aache kazi ya benki ili awe mama wa nyumbani sababu mume wake ni tajiri hakuna asichopata kwa mume wake...
Sister kwa kusikiliza ushauri wa mume wake akaacha kazi kweri.ni kosa Hilo alifanya.

Now maisha yamechange kabisa,utajiri wote umeisha magari yote wameuza Hadi ya kutembelea na Wana madeni kibao,hela zote zimeisha.watoto walikuwa wanasoma international School now wanasoma shule za kawaida.

Sister amehangaika kutafuta kazi kila sehemu amekosa,amekuwa ni mama wa nyumbani na maisha sio Kama zamani,uzuri wote umepotea mpaka huruma.na mume wake anajuta kumuachisha kazi mke wangu maisha yamekuwa magumu na watoto wanahitaji kusoma.

mwanamke mwenye elimu yako ndoa isikufanye uache ajira yako uliyoiangaikia kwa miaka mingi kisa kumridhisha mume wako.

Nb: mume wa sister ni shemeji😁

KATAA UTUMWA

naomba kuwasilishaa.....🙏
 
Hope ni wazima Wana Jf

Nina sister yangu upande wa baba mwingine (baba mkubwa)kanipita kidogo umri ni mkubwa kwangu baada ya kumaliza degree ya uhasibu miaka Ile alipata kazi benki ya N.... mkoa x

wakati sister yupo chuo alikuwa na mtu wake ambaye amemuoa.
Kabla ndoa walikuwa wanaoishi wote mkoa X,sababu mume wa sister alikuwa vizuri kiuchumi ni tajiri alikuwa ana magari ya mizigo na mabasi ya abiria,gari za kutembelea zilikuwepo.nyumba ya maana.

Mume wa sister ilibidi amshauri sister aache kazi ya benki ili awe mama wa nyumbani sababu mume wake ni tajiri hakuna asichopata kwa mume wake...
Sister kwa kusikiliza ushauri wa mume wake akaacha kazi kweri.ni kosa Hilo alifanya.

Now maisha yamechange kabisa,utajiri wote umeisha magari yote wameuza Hadi ya kutembelea na Wana madeni kibao,hela zote zimeisha.watoto walikuwa wanasoma international School now wanasoma shule za kawaida.

Sister amehangaika kutafuta kazi kila sehemu amekosa,amekuwa ni mama wa nyumbani na maisha sio Kama zamani,uzuri wote umepotea mpaka huruma.na mume wake anajuta kumuachisha kazi mke wangu maisha yamekuwa magumu na watoto wanahitaji kusoma.

mwanamke mwenye elimu yako ndoa isikufanye uache ajira yako uliyoiangaikia kwa miaka mingi kisa kumridhisha mume wako.

Nb: mume wa sister ni shemeji[emoji16]

KATAA UTUMWA

naomba kuwasilishaa.....[emoji120]
Hamna tajiri anae jutabua akaruhusu mke wake ajiliwe na boss mgine, suala la kuishiwa liko pale pale kama unajua maisha.
 
Hope ni wazima Wana Jf

Nina sister yangu upande wa baba mwingine (baba mkubwa)kanipita kidogo umri ni mkubwa kwangu baada ya kumaliza degree ya uhasibu miaka Ile alipata kazi benki ya N.... mkoa x

wakati sister yupo chuo alikuwa na mtu wake ambaye amemuoa.
Kabla ndoa walikuwa wanaoishi wote mkoa X,sababu mume wa sister alikuwa vizuri kiuchumi ni tajiri alikuwa ana magari ya mizigo na mabasi ya abiria,gari za kutembelea zilikuwepo.nyumba ya maana.

Mume wa sister ilibidi amshauri sister aache kazi ya benki ili awe mama wa nyumbani sababu mume wake ni tajiri hakuna asichopata kwa mume wake...
Sister kwa kusikiliza ushauri wa mume wake akaacha kazi kweri.ni kosa Hilo alifanya.

Now maisha yamechange kabisa,utajiri wote umeisha magari yote wameuza Hadi ya kutembelea na Wana madeni kibao,hela zote zimeisha.watoto walikuwa wanasoma international School now wanasoma shule za kawaida.

Sister amehangaika kutafuta kazi kila sehemu amekosa,amekuwa ni mama wa nyumbani na maisha sio Kama zamani,uzuri wote umepotea mpaka huruma.na mume wake anajuta kumuachisha kazi mke wangu maisha yamekuwa magumu na watoto wanahitaji kusoma.

mwanamke mwenye elimu yako ndoa isikufanye uache ajira yako uliyoiangaikia kwa miaka mingi kisa kumridhisha mume wako.

Nb: mume wa sister ni shemeji😁

KATAA UTUMWA

naomba kuwasilishaa.....🙏

Asante kwa kutukumbusha

Usiache kazi ya kuajiriwa sababu umepata ndoa, acha kazi sababu umejiajiri kivingine
Muhimu sana hii
 
Hamna tajiri anae jutabua akaruhusu mke wake ajiliwe na boss mgine, suala la kuishiwa liko pale pale kama unajua maisha.
Ni kweri kabisa inabid wawe wanafikiria ya mbele maisha yanabadilika mkuu
 
Hauja mtajirisha Ila kipindi wako vizuri kiuchumi kila kitu mahitaji yote alikuwa anapata na sister alimshauri mume wake wafungue ata biashara, shemeji alikataa
Sasa shemeji yako alikuwezaje kuwaaminisheni kwamba yeye ni tajiri wakati hana hata vitega uchumi?
Utajiri sio pesa ulizonazo, ila utajiri ni investment ulizonazo.
 
Sasa shemeji yako alikuwezaje kuwaaminisheni kwamba yeye ni tajiri wakati hana hata vitega uchumi?
Utajiri sio pesa ulizonazo, ila utajiri ni investment ulizonazo.
Bujibuji Simba Nyamaume
Shemeji aliona biasharaya usafirishaji kwa muda ule ni investment kubwa kwake na hela inaleta kiburi,unaona kila kitu unaweza fanya Kama pesa ipo.
 
Nadhani wengi hamjajua dhana ya mwanamke kuacha kazi,even my wife will not work in any bank tafuta pesa hata ukope mahali mwanamke afanye zake biashara anayopenda na jitahidi umasimamie mtaji wake ukue awe na pesa zake
 
Nadhani wengi hamjajua dhana ya mwanamke kuacha kazi,even my wife will not work in any bank tafuta pesa hata ukope mahali mwanamke afanye zake biashara anayopenda na jitahidi umasimamie mtaji wake ukue awe na pesa zake
Sio kila mtu anaweza fanya biashara.
 
Hope ni wazima Wana Jf

Nina sister yangu upande wa baba mwingine (baba mkubwa)kanipita kidogo umri ni mkubwa kwangu baada ya kumaliza degree ya uhasibu miaka Ile alipata kazi benki ya N.... mkoa x

wakati sister yupo chuo alikuwa na mtu wake ambaye amemuoa.
Kabla ndoa walikuwa wanaoishi wote mkoa X,sababu mume wa sister alikuwa vizuri kiuchumi ni tajiri alikuwa ana magari ya mizigo na mabasi ya abiria,gari za kutembelea zilikuwepo.nyumba ya maana.

Mume wa sister ilibidi amshauri sister aache kazi ya benki ili awe mama wa nyumbani sababu mume wake ni tajiri hakuna asichopata kwa mume wake...
Sister kwa kusikiliza ushauri wa mume wake akaacha kazi kweri.ni kosa Hilo alifanya.

Now maisha yamechange kabisa,utajiri wote umeisha magari yote wameuza Hadi ya kutembelea na Wana madeni kibao,hela zote zimeisha.watoto walikuwa wanasoma international School now wanasoma shule za kawaida.

Sister amehangaika kutafuta kazi kila sehemu amekosa,amekuwa ni mama wa nyumbani na maisha sio Kama zamani,uzuri wote umepotea mpaka huruma.na mume wake anajuta kumuachisha kazi mke wangu maisha yamekuwa magumu na watoto wanahitaji kusoma.

mwanamke mwenye elimu yako ndoa isikufanye uache ajira yako uliyoiangaikia kwa miaka mingi kisa kumridhisha mume wako.

Nb: mume wa sister ni shemeji😁

KATAA UTUMWA

naomba kuwasilishaa.....🙏
Bado hujatoka tu jf au ulikuwa unatubeep.
 
Nadhani wengi hamjajua dhana ya mwanamke kuacha kazi,even my wife will not work in any bank tafuta pesa hata ukope mahali mwanamke afanye zake biashara anayopenda na jitahidi umasimamie mtaji wake ukue awe na pesa zake
Kwanini hutaki mkeo abaki na ajira yake.
 
Back
Top Bottom