Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Huyo tajili nae kilaza tu, kama wivu unamsumbua angemuajili mkewe.
Yaani unampa kitengo fulani kwenye biashara zako na sio kukaa tu nyumbani, kunenepeana na kupokea shahawa zako. Mwisho wa siku utamchoka na kumchukia mkeo.
Yaani unampa kitengo fulani kwenye biashara zako na sio kukaa tu nyumbani, kunenepeana na kupokea shahawa zako. Mwisho wa siku utamchoka na kumchukia mkeo.