Tabora kuna waarabu wengi masikiniNimekusoma mkuu lakini naweza pata maeneo wanayoweza patikana bila kijali natoka ukoo gani au nina uwezo kiasi gani
Duh mpaka nihamie Ilala wakati nina nyumba yanguTabora kuna waarabu wengi masikini
hasa igunga
Dar nenda Ilala...tafuta nyumba hamia hapo
au nenda Zenji kabisa....
Ila waarabu hata wakiwa masikini bado sio gia ya kuwapata...
wanajali sana unatoka ukoo upi
ndo maana wanaoana binamu kwa binamu sana
Duh mpaka nihamie Ilala wakati nina nyumba yangu
Igunga pale nina ndugu zangu kina Rostam Azizi wengi najuakafungue hata duka la chokaa....
wanasema 'mtaka cha uvunguni shurti ainame'
nenda igunga katafute shamba ujenge huko
Mkuu naona unampeleka kwa Waarabu wa Nzega... ah Pesa awe nayo lakinikafungue hata duka la chokaa....
wanasema 'mtaka cha uvunguni shurti ainame'
nenda igunga katafute shamba ujenge huko
Rostam sio Mwarabu ni Mhajemi hana chembe chembe zozote za Uarabu pua kubwaIgunga pale nina ndugu zangu kina Rostam Azizi wengi najua
Ni mwaraabu wa NdembeziRostam sio Mwarabu ni Mhajemi hana chembe chembe zozote za Uarabu pua kubwa
ШOk sawa kaka mkubwa mabinti wa kiarabu wapo katika makundi":"
matatu,kundi la kwanza hawa ni wale high class sifa yao kubwa ni matajiri sana washika dini haswaa na tayari waume zao washaandaliwa mapema na asilimia kubwa wanaolewa wakiwa na umri mdogo tena wakiwa bikra
Hapa dar wanapatika sana msasani masaki osterbay inshort hawajichanganyi kabisa na ngozi nyeusi hata wahindi hapa wanapata shida
Umemaliza kila kitu Mkuu, hata siku moja huwezi kuckia akina mashaka wameoa mwarabu, never!Waarabu nyodo ndo nyumbani kwao
huwezi sema natafuta mwanamke wa kiarabu halafu akakufuata pm
haitatokea...
waarabu hata ukiwa na pesa....lakini mswahili...kazi kuwapata unless wale wa kujiuza
wanajali sana familia gani unatoka....
ukooo upi.....ukoo wenu una umaarufu gani?
kooo zenye majina ya Al....Al Fuad,Al mansoor,....sio Mapunda sijui ....