Mwanamke wa kiarabu

Mwanamke wa kiarabu

Nimekusoma mkuu lakini naweza pata maeneo wanayoweza patikana bila kijali natoka ukoo gani au nina uwezo kiasi gani
Tabora kuna waarabu wengi masikini
hasa igunga
Dar nenda Ilala...tafuta nyumba hamia hapo
au nenda Zenji kabisa....

Ila waarabu hata wakiwa masikini bado sio gia ya kuwapata...
wanajali sana unatoka ukoo upi
ndo maana wanaoana binamu kwa binamu sana
 
Tabora kuna waarabu wengi masikini
hasa igunga
Dar nenda Ilala...tafuta nyumba hamia hapo
au nenda Zenji kabisa....

Ila waarabu hata wakiwa masikini bado sio gia ya kuwapata...
wanajali sana unatoka ukoo upi
ndo maana wanaoana binamu kwa binamu sana
Duh mpaka nihamie Ilala wakati nina nyumba yangu
 
hawa ukiwaudhi kidogo wanataka kunywa sumu,na ukiwaudhi sana hawakawii kujilipua!jiandae kwa haya BOB.
 
We Si nilishakuambia uje huku Kwetu Pemba wapo kibao ila usiwe mla Mbuzi Katoliki la Paji lako la Uso liwe na kialama kama shilingi cheusi Sigida... ukija tunakupa na unaondoka naye mahari ni Karai moja lililojaa Dhahabu... sie kama Wacomoro pia
 
kafungue hata duka la chokaa....
wanasema 'mtaka cha uvunguni shurti ainame'
nenda igunga katafute shamba ujenge huko
Igunga pale nina ndugu zangu kina Rostam Azizi wengi najua
 
kafungue hata duka la chokaa....
wanasema 'mtaka cha uvunguni shurti ainame'
nenda igunga katafute shamba ujenge huko
Mkuu naona unampeleka kwa Waarabu wa Nzega... ah Pesa awe nayo lakini
 
Waajemi wote ni waarabu maana uajemi kwa asili ni Iraq wote hao ni waarabu ikiwa pamoja na Iran
 
Ok sawa kaka mkubwa mabinti wa kiarabu wapo katika makundi matatu,kundi la kwanza hawa ni wale high class sifa yao kubwa ni matajiri sana washika dini haswaa na tayari waume zao washaandaliwa mapema na asilimia kubwa wanaolewa wakiwa na umri mdogo tena wakiwa bikra
 
Hao wa first class ndugu yangu mahali yao ni kubwa usipime hapo usisumbuke acha tu
 
Hapa dar wanapatika sana msasani masaki osterbay inshort hawajichanganyi kabisa na ngozi nyeusi hata wahindi hapa wanapata shida
 
Second class hawa wamejaa sana ilala posta buguruni na kariakoo hapa unaweza pata ila ni lazima uwe na pesa ya kutoshaxs()
 
Ok sawa kaka mkubwa mabinti wa kiarabu wapo katika makundi":"
matatu,kundi la kwanza hawa ni wale high class sifa yao kubwa ni matajiri sana washika dini haswaa na tayari waume zao washaandaliwa mapema na asilimia kubwa wanaolewa wakiwa na umri mdogo tena wakiwa bikra
Ш


Hapa dar wanapatika sana msasani masaki osterbay inshort hawajichanganyi kabisa na ngozi nyeusi hata wahindi hapa wanapata shida
 
Waarabu nyodo ndo nyumbani kwao
huwezi sema natafuta mwanamke wa kiarabu halafu akakufuata pm
haitatokea...

waarabu hata ukiwa na pesa....lakini mswahili...kazi kuwapata unless wale wa kujiuza
wanajali sana familia gani unatoka....
ukooo upi.....ukoo wenu una umaarufu gani?
kooo zenye majina ya Al....Al Fuad,Al mansoor,....sio Mapunda sijui ....
Umemaliza kila kitu Mkuu, hata siku moja huwezi kuckia akina mashaka wameoa mwarabu, never!
 
Kundi la tatu hawa ni waarabu wa kawaida wapo maeneo mbalimbali hapa dar wao sio matajiri ukiwa na uwezo hawanaga shida unaoa tu au unajipigia sema nao wanagharama ili waende sawa na wenzao ila ukitaka kuoa sharti uwe muislamu kwanza pili demu awe amekuzimikia kwelikweli na kama wewe sio tajiri hawa waarabu wako radhi wewe uishi na huyo mkeo kwao ili mradi tu wajue mtoto wao haishi katika dhiki lakini mara nyingi huyo binti anakuwa amekosa soko kabisa halafu ameenda age ni nadra sana kukuta demu wa kiarabu ajaolewa baada ya miaka 25,wengi iwa vicheche balaa na ndio hao uwa wanajiuza au malaya walioshindikana sasa kuficha aibu wazee wao uwaoza kwa yoyote ili mradi tu binafsi nimedate na waarabu wengi tu ukiwa muongaji mzuri unaweza tembea na familia nzima
 
Back
Top Bottom