Afro-Arabica
JF-Expert Member
- Aug 27, 2013
- 1,107
- 492
Sisi kwetu aibu kuchati na Mr... Labda umeoa na una familia?Si mpaka uruhusuwe sasa wewe hujaruhusu nikuja mwenyewe basi naja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi kwetu aibu kuchati na Mr... Labda umeoa na una familia?Si mpaka uruhusuwe sasa wewe hujaruhusu nikuja mwenyewe basi naja
Ni hapo tutakapo onanaunataka kuoa au
Nimekubali yote mkuuMwanamke wa kiarabu atakuua kwa pilau ndugu yangu ! Vyakula vya kwenu utavikosa
Kaka mbona una anza na kejeli ?!! hapa sipo pakuchafuana, tafdhali njoo kwa wema na uondoke na Heshima!!Watu wanataka kuionja rangi ya mtume so msaada wako unahitajika kuwasogezea wenzio
Nimeisha ingia pmSisi kwetu aibu kuchati na Mr... Labda umeoa na una familia?
Kaka wee lugha yako vipi?Nimeisha ingia pm
Nimeisha ingia pm
Hujanielewa bado maana kiarabu sijuiKaka wee lugha yako vipi?
Afana alek... mie nakusemesha kiswahili. Tutakupeleka Uarabuni ukajifuneHujanielewa bado maana kiarabu sijui
Wala usinistaajabu utanielewa tu lakini nitashukuru iwapo utanipeleka uarabuniNdiyo nilivyostaajabu na kumshangaa
Nkungulume
eeeH!! nikupeleke tena huko? Hayo makubwa!!!Wala usinistaajabu utanielewa tu lakini nitashukuru iwapo utanipeleka uarabuni
Ni machacha au matataWanawake wakiarabu wapo usanda shinyanga ila wanamachacha uje ukijua hilo karibu
Wala usinistaajabu utanielewa tu lakini nitashukuru iwapo utanipeleka uarabuni
Nimeisha muelewa hizo ni mbwembwe tuWewe huyo umempata sasa kujieleza ni kazi! Ndugu mteja kifurushi chako kinakaribia kuisha. Mwenyewe yuko hapa hapa afu unaanza leta story za yeye kukupeleka uarabuni, kwani amekuwa fly Emirates?
We nadhani una uwezo hata wa kijibishia mwenyewe ukiwa peke yako...Waajemi wote ni waarabu maana uajemi kwa asili ni Iraq wote hao ni waarabu ikiwa pamoja na Iran