Mwanamke wa Kichaga.

kimweri Jr

Senior Member
Joined
Jun 9, 2012
Posts
131
Reaction score
41
Jamani wanajamvi naweza kuwa mgeni wa jambo hili: ni zipi sifa halisi za wakidada wa kichaga na ukitaka kuoa ni taratibu gani za kufuata mpaka kutoa mahali? Msaada jamani wanajamvi.
 
kimweri,&mchaga.
Great combination.
Wote mnatumia base moja "ubahili"
Asprin atakuja kukupa mchakato
 
Last edited by a moderator:
ha ha haaa
leo naona umegusa ikulu
ngoja vijana wangu watakuja kukupa hayo ya huko kwetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…