Mwanamke wa Kitanga akikutaka anakupata tu

Ninachojaribu kusema ni kuwa epuka urafiki na mwanamke wa Kitanga kama una familia maana utajikuta tu unaipuuza familia yako na mkeo ataanza kupata shida. Hawa watu utasema wana PHD ya utundu.
CC : mzigua Sky Eclat Shunie....

Jr[emoji769]
 
Ninachojaribu kusema ni kuwa epuka urafiki na mwanamke wa Kitanga kama una familia maana utajikuta tu unaipuuza familia yako na mkeo ataanza kupata shida. Hawa watu utasema wana PHD ya utundu.
CC : mzigua Sky Eclat Shunie....

Jr[emoji769]
Na hao wanaobisha kua hawawezi kufanywa mazoba imekaaje hii mkuu,!

mchawi ni binadamu ,paka ni kijakazi
 
Hizo Imani tu.

Kila mtu na hisia zake. Ikiwa kila mtu atakuja na shuhuda zake hapa basi binafsi nitasifia "wamasai". Tusilazimishane[emoji41]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni Sahare sio Saare ... Karibu nipo hapa magorofa ya uhamiaji Kama unaenda Popatlal pembeni ya kiwanda cha mbolea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…