- Thread starter
- #41
Ina maana hizi raha wanazotoa zote nyie mnaziona kama maigizo ?Ndugu hao wanawake hiyo ni kampeni, akipata jimbo ndiyo utamjua. Ndiyo maana wanapigwa chini, na huku hatuzuzuki nao kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ina maana hizi raha wanazotoa zote nyie mnaziona kama maigizo ?Ndugu hao wanawake hiyo ni kampeni, akipata jimbo ndiyo utamjua. Ndiyo maana wanapigwa chini, na huku hatuzuzuki nao kabisa
Imefanya nini hiyo nyama ya ulimiNyama ya ulimi 😎
Yasikukute, utafuta hiyo reply.
Mkuu ukishanasa kwa toto la kitanga kujinasua kazi. Mi siwezi kupitisha siku bila kumwona na ye anajua hilo.Malizia kazi iliyokupeleka rudi, mpka hapo ukiendelea zaidi waweza poteana nakuanza life upya
Na we ni mtoto wa kitanga nini ?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] chezea tanga weyeeeeeeh Mambo pambeeeh,
Sent using Jamii Forums mobile app
Maji ya kunywa au maji gani tenaaa?
Ninachojaribu kusema ni kuwa epuka urafiki na mwanamke wa Kitanga kama una familia maana utajikuta tu unaipuuza familia yako na mkeo ataanza kupata shida. Hawa watu utasema wana PHD ya utundu.Habari za jioni.
Kuna jambo nimejifunza ila nimechelewa sana kulijua. Lakini huu ndo ukweli. Naamini wanawake wa Kitanga kuna sehemu wanakwenda kufundishwa mambo. Kwa sababu hakuna mwanamke anaejua kumnasa mwanaume kama mwanamke wa kitanga.
Mwanamke wa kitanga akikutaka anakupata. Tena bila hata kukutongoza. Na hela utampa hata asipokuomba. Yamenikuta. Ile mitego aloniwekea nilinasa kilaini sana licha ya kuwa na msimamo. Hapa unapoona nimeshamlipia na kodi japo hajaniomba.
Ila sasa ninachowaza kwanini huwa wnaachika? Maana yasemekana ndo wanaoongoza kuachika. Najiuliza hivyo kwa sababu huyu wangu mie (Msambaa, mweupeee) sitaki hata kumuacha maana nakimata nimekamatika.
Ninachojaribu kusema ni kuwa epuka urafiki na mwanamke wa Kitanga kama una familia maana utajikuta tu unaipuuza familia yako na mkeo ataanza kupata shida. Hawa watu utasema wana PHD ya utundu.
Na wewe pia
Na hao wanaobisha kua hawawezi kufanywa mazoba imekaaje hii mkuu,!
Sasa hivi sio UKIMWI TENANAONA MKUU UNAJILIA VYAKO KIMTINDO ILA KUWA MAKINI CORONA IPO NA INAUA
Hizo Imani tu.Habari za jioni.
Kuna jambo nimejifunza ila nimechelewa sana kulijua. Lakini huu ndo ukweli. Naamini wanawake wa Kitanga kuna sehemu wanakwenda kufundishwa mambo. Kwa sababu hakuna mwanamke anaejua kumnasa mwanaume kama mwanamke wa kitanga.
Mwanamke wa kitanga akikutaka anakupata. Tena bila hata kukutongoza. Na hela utampa hata asipokuomba. Yamenikuta. Ile mitego aloniwekea nilinasa kilaini sana licha ya kuwa na msimamo. Hapa unapoona nimeshamlipia na kodi japo hajaniomba.
Ila sasa ninachowaza kwanini huwa wnaachika? Maana yasemekana ndo wanaoongoza kuachika. Najiuliza hivyo kwa sababu huyu wangu mie (Msambaa, mweupeee) sitaki hata kumuacha maana nakimata nimekamatika.
Ninachojaribu kusema ni kuwa epuka urafiki na mwanamke wa Kitanga kama una familia maana utajikuta tu unaipuuza familia yako na mkeo ataanza kupata shida. Hawa watu utasema wana PHD ya utundu.
Shule zifunguliwe tu ..katoto hako kasamehe bure...Itabidi ulete sampuli za ubongo wako kwa mkemia mkuu wa serikali ili tujue kama umeshambuliwa na wadudu[emoji41][emoji41][emoji41]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni Sahare sio Saare ... Karibu nipo hapa magorofa ya uhamiaji Kama unaenda Popatlal pembeni ya kiwanda cha mboleamimi niliwai kukamatwa na mtoto wa kitanga ndani ya saare tanga.
nimekuja kushtuka kupata akili nishakula mpaka nauli.
nikaomba lift kwenye fuso imebeba nazi kuja dar.
astakafilulaaa wee !!!!!nilikuwa na safari ya mbeya moyo ukaiambia akili "pitia short cut ya tanga ukampe hai mariam mjata mtoto wa kitanga akupe raha kisha uondoke"
akili yangu ikakataa katakata hakuna short cut ya kwenda mbeya uzungukie tanga bali ni nyege tu na mahaba ya yule binti mtanga.
nikanyoosha one way mpaka mbeya.
Sent using Jamii Forums mobile app