Mwanamke wa Kitanga akikutaka anakupata tu

Acha kutekwa akili kijinga hivyo wanawake wa Tanga si kitu wana mapenzi ya kwd ambayo hayana tofauti na haya ya Watoto shombeshombe wa Tabora. #BahariaMzoefu.

5/5
 
Upo sahihi kabisa,Wao sio wavumiliv na hawaogopi kuanzisha mahusiano mapya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muanzisha mada anasema ukweli
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tafuta wawili au watatu hapo hapo TANGA MJINI
2009 nakumbuka one week nilitafuna PISI tatu ZA TANGA NYEUPE PEEEE
NILienda kufuata cheti Cha advance ili nikaanze chuo
1.nilimwahid Nampa ajira KAMPUNI ya tigo
Alivyokuja hotel akaambulia tisheti ya tigo
ALINIKUTA BA VIPEPERUSHI KIBAO VYA KUSAJILI LINE NA TISHET PC MBILI
2.Nilimwambia aje BANDARI akaacha barua yake na passport size sita kesho yake nikamtafuna
3.ALITAKA SIMU NIKAMWAMURU AKUJE HOTEL,NIKALA.NIKAMWAMBIA KESHO YAKE AJE TWENDE TUKANUNUE SIMU
,KESHO NIKASEPA BARA
 
We noma
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mmoja huyo umbo lake tu zuri unaweza ombea hata zamana!
Kuna siku alinisogelea kenge Mimi aisee lile jicho lake duh! Nililihimili lkn chamoto nilikiona!.. ukisikia mtoto jicho remburembu ndo Lile! Linatosha kabisa kukuambia mimi ni hodari wa mapenzi jiongeze BasiπŸ˜…πŸ˜…
Jicho lile silisahau ila kenge nililiacha lipite mwana kwenda maana ningebaki mifupa kama ningenasa pale.. Ni kweli tanga Kuna la ziada.
 
ddu kazu ya kuuza gengee πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… uchawi upo amin ya shortcut ya kwenda mbeya uzunguke tangaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…