Haina umri, Hadi viungo vigome.Hivi kwani kutiana mwisho ni miaka mingapi??🙄🙄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haina umri, Hadi viungo vigome.Hivi kwani kutiana mwisho ni miaka mingapi??🙄🙄
Kwamba hujapataNi habari njema....ngoja niiendelee kuimarisha beki, nitazaa miaka 65 huko Inshaallah.
Kabisa, alikua anakula vyakula vya asili sio chipis na bagaAliweza kusukuma kabisa???
Yes ni sawahivi umri wa enzi hizo ni sawa na umri wa kipindi hiki?
maana sijawahi tena sikia kikongwe wa miaka 90 amezaa
Soma uelewe kazaaje huyo mtoto. Siyo kukurupuka.eti mlifundishwa huko mwanamke akifikisha miaka 45 anapata shida za kupata mimba eeh?
Mwalimu wangu wa Biology.. kiko wapi sasa..
Una maanisha mimba ilitungwaje au kuzaa kama kuzaaSoma uelewe kazaaje huyo mtoto. Siyo kukurupuka.
Huyu mama kapandikiziwa mbegu ukweli ulivyo kuanzia miaka 40 na kuendelea mwanamke aliekoma siku zake ni ngumu kubeba mimba wengi wao ukoma kuanzia miaka hiyoeti mlifundishwa huko mwanamke akifikisha miaka 45 anapata shida za kupata mimba eeh?
Mwalimu wangu wa Biology.. kiko wapi sasa..
Kama mwanamama kakoma siku zake ndio hawezi shika ujauzitoKumbe tunaambiwa kuzaa mwisho 45 ni uongo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
aliyekufundisha huu ujinga alikwambia mimba inaingia kwa njia moja tu ?Huyu mama kapandikiziwa mbegu ukweli ulivyo kuanzia miaka 40 na kuendelea mwanamke aliekoma siku zake ni ngumu kubeba mimba wengi wao ukoma kuanzia miaka hiyo
Ninao naogopa kuongezaKwamba hujapata
UsiogopeNinao naogopa kuongeza