Mwanamke wa shoka

Tuchapeni kazi tulijenge taifa letu zuri la Tanzania. Wapuuzeni Wabelgiji na Mr Mzungu wao wanaotaka kutuchonganisha & kutupiganisha ili kuivuruga amani yetu, waje kujichotea rasilimali zetu bure. Hii ndiyo Tanzania tunayoitaka. Au nasema uongo ndugu zangu!???
 
Uzi kwa kuwa upo jamiiphotos
Basi wadau hoja ziambatane na kutupia Picha zote za wanawake wa shoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…