Dumas the terrible
JF-Expert Member
- Jan 20, 2021
- 4,779
- 9,999
Mbelgiji kaingiaje hapa we Lumumba fc? Watu kama wewe mnamwangusha sana mwenyekiti wenu aisee Fanya kama umekua basi sio kila kitu siasa tu agggghhhTuchapeni kazi tulijenge taifa letu zuri la Tanzania. Wapuuzeni Wabelgiji na Mr Mzungu wao wanaotaka kutuchonganisha & kutupiganisha ili kuivuruga amani yetu, waje kujichotea rasilimali zetu bure. Hii ndiyo Tanzania tunayoitaka. Au nasema uongo ndugu zangu!???
Natania tu mataga hata usimaindi!