Mwanamke wa shoka

Mwanamke wa shoka

Unampangia mtu kazi ya kufanya?Unaelewa kuwa hapa duniani moja ya kitu kinachompa mtu furahaa ni pamoja na kuchagua kufanya kazi anayoipenda yeye?
You miss the point.......
hao wanawake wa garage kama ni type zako date nao sio kesi.......
Sisi wengine tuna date na walimbwende tu
 
You miss the point.......
hao wanawake wa garage kama ni type zako date nao sio kesi.......
Sisi wengine tuna date na walimbwende tu
You miss the point.........
Walio walimbwende kwako siyo lazima wawe walimbwende kwangu na walio walimbwende kwangu siyo lazima wawe walimbwende kwako.Unavyodai kuwa unadate na walimwende tu kwani nani kakwambia kuwa hawa wa garage siyo walimbwende kwa upande wangu?
 
You miss the point.........
Walio walimbwende kwako siyo lazima wawe walimbwende kwangu na walio walimbwende kwangu siyo lazima wawe walimbwende kwako.Unavyodai kuwa unadate na walimwende tu kwani nani kakwambia kuwa hawa wa garage siyo walimbwende kwa upande wangu?
Sio kesi deal nao hao wachezea vyuma mm na deal na hawa wanao ogea maziwa....
 
Hapo utakuta wafanyakazi wengine wa gereji,madereva na makondakta,mmiliki wa gereji wote washakojo***a
 
Tuchapeni kazi tulijenge taifa letu zuri la Tanzania. Wapuuzeni Wabelgiji na Mr Mzungu wao wanaotaka kutuchonganisha & kutupiganisha ili kuivuruga amani yetu, waje kujichotea rasilimali zetu bure. Hii ndiyo Tanzania tunayoitaka. Au nasema uongo ndugu zangu!???
Wewe ndiyo wale mnaomba na ya kutolea
 
Usikute hata Pesa yenyewe ya kuwamiliki huna unaishia tu kuwaona pichani na kuwaita mashemeji
Niletee dada zako niwahonge sharti wawe wazuri tu wasiwe ma poligon hapo ndio utajua nina mawe au laa.
 
Dada zangu haustahili hata kuwafunga kamba za viatu vyao sembuse kuwahonga! Utawahonga nini labda wao ndiyo wakusaidie hela za bundle ili uendelee kujitutumia huo ujinga wako humu!
Ha ha hasa walete niwale goti usihof brother nitawatunza watakuhadithia mema ya nchi
 
Back
Top Bottom