mamamzungu
JF-Expert Member
- Nov 17, 2019
- 2,554
- 4,271
Mbona unawajua sana,una uhakika we sio majirani zako?[emoji16][emoji16]
Hapo sawa...maana hizo ndo zaoNakaa uswahilini piaa sema sijakulia home kutokana na shule za bweni but kwa muda mfupi niliokaa home nimeona hizo tabia kwa majirani zangu
Mambo gani yanawakera?nyie si mtuachee😥🤣?[emoji23][emoji23] mbona hamjakosea sema tu kuna mambo munafanya yanakeraa
Kwa kweli,mwenzetu kavuka mipaka Kawa internationally,wageni watakuwa wanashangaaa sana huko🤣🤣🤣🤣Yule sasa hivi anasambaza ujuzi duniani huko🤣🤣🤣
Zari hakuamini,alisema ",I swear,over mydead body my man can't date a cheap woman from uswahilini"wee role model alichomfanya ni mimba na video juuu🤣Yaani Diamond alikuwa anatoroka ushuani anaenda Uswazi ya Kiwalani mpaka alipofumwa.
Umeandika vizuri sana....Hawanaga baya my zangu, shughuli kwao kipaumbele, wanasherehekea hadi talaka.
Hawanaga stress za mambo makubwa, mipango yao ya maisha ni kununua kabati la vyombo, sabufa, masufuria etc akijitahidi sana plot futi kadhaa, wenyewe wanaita “uwanja”
Kwao gari ni gari, liwe la milioni 4 , au 32 zote ni gari tu ilimradi inamfikisha mahala. Kama inahisi utamtisha na Audi yako au Bima then fikiria mara 2 😅, Saidi atakuja kumng’oa na vits yake old model utashangaa na roho yao.
Beauty standard yao ni kuwa mweupe! Elimu ya uzuri in different perspectives inatakiwa itiliwe mkazo sana kule. Tunamshukuru Mungu kwaajili ya maendeleo ya mitandao mdogo mdogo mambo yatabadilika.
Wanasifiwa kwa kujua mapenzi, ila wanaongoza kwa kuachika… i think something to do with personality.
Ni watu bora sana, until atakapotakiwa kumkuza mtu mwingine kama yeye “Mtoto”.
Anyways…. Mi sio wa ushuani, mimi ni wa kijijini. Village girl all the way!
kwahiyo joannah unavaa viatu vya manyoya😂Mambo gani yanawakera?nyie si mtuachee😥🤣?
Navaa na kibegi flan hivi kidogodogo unakijua?🤠kwahiyo joannah unavaa viatu vya manyoya😂
najua wapi mi wa mikoani nawaonaga kwenye tv😂 mnajua kulimwaga kwenye singeliNavaa na kibegi flan hivi kidogodogo unakijua?🤠
Na wanatulilia mpk machozi km watoto na Vanguard zao, wanasema tuache uswahili wa kugawa kwa kila mtu!!
Jotroo la kei linawavuruga hawajawahi kuona kwa washua wenzao, kisamaki kingi wavuvi kempu inacheua
Hamisa ndio role model wetu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapo sawa...maana hizo ndo zao
Muda wote kiwanja hakina nyasiNgoja tuambiane tabia za wanawake wa uswahilini, haya ni baadhi tu wengine mtaongezea kama yapo
1. Wanathamini kuvaa kuliko chakula.
2. Hawajui bajeti, ukimpa laki ya matumizi ya kawaida anaenda tafuta mganga.
3. Hawana siri kwenye mambo mazuri, akinunua kitu atahakikisha kila mtu anajua, ndio maana wanaongoza kwa visherehe visivyo na tija.
4. Hawawezi kukaa nyumba yenye geti na eneo lililotulia kwani wamezoea kushinda kwenye miji ya watu.
5. Ukiwa na mahusiano ya mapenzi basi familia nzima itajua; mama, bibi, shangazi, nk.
6. Wanapenda mikopo kausha damu, huku hawana biashara yoyote.
7. Yupo radhi auze kitu chochote ili atoe mchango wa shughuli.
Ongezea mengine kama yapo.
Hana makao maalum na kukaa kwako wiki ukijilia vyako hawana shidaHawaoleki hadi mtu anakufa ashaolewa ndoa nne na zote chali
we jamaa jau sana😂Wanatusitiri saana, hawana vibomu vikubwa, ukimnunulia kijora cha shughuli umekula.
Tunawala saana kwa marejesho ya halichachi, kausha damu.
Guest ya elfu 5 tu na chips kavu umekula mzigo, tena wakati mwingine hyo hyo buku 5 ukimpelekea kwake unakula mzigo kibosi tu, na maji ya kuoga unachemshiwa.
Hapo ndipo wajuba tunapogoma kuoa, maziwa napata, nyama napata, ya nini kufuga ng'ombe😂😂😂
Wanawake wa uswazi oyeeee..🤣🤣
Mambo gani yanawakera?nyie si mtuachee[emoji26][emoji1787]?
Labda dada zako mkuu....Ukipata demu wa kiswahili we peleka popote pale itazama ila wanaloga sana
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app